Hizi ndoa hizi hapo kweli hana umuhimu huyo nyumbani haonekani anachofanya pia hakijulikani hiyo ndo tafsiri yake. Maana kama huonekani wiki nzima basi tuone kinachofanya usionekane nacho hatuoni sasa wa nini.
Misimu miwili mizima hatuoni nini kipara anataka kufanya uwanjani, Kifupi hakuna mwanga wa nini jamaa anataka kucheza ni papatu papatu tu hivyo hivyo siku zinasonga.
Ni suala la mda tu tutaamini wote kwamba kipara anatupotezea muda tu yeye pamoja na genge lake. Hata timu za second division hazichezi huu mpira nonsense.
Ni vile tu ni mapenzi ndo mana tunavumilia ila kiuhalisia huu mpira sistahili kuuangalia hata dakika moja ni aibu na fedheha kuchezeshwa namna hii kila mechi.
Kama Luton anatupigia mpira vile leo sijui itakuwajee maana sio nusu uwanja bali watakua wanacheza kwenye 18 yetu dakika 90, labda kama wachezaji waamue kutulindia heshima leo.
Mechi naangalizia online ili nikifungwa nisipate kero kama nikiwa vibanda umiza.
Pamoja na ubovu wa wachezaji wetu ila kocha hawezi kukwepa lawama hata kidogo, haiwezekani kila timu inatuposess kila mechi fainali hapana hata kama wabovu lakini kochaa hamna pale mmiliki mpya aangalie wachezaji wa kuondoka na kocha wao.
Majeruhi sio kisingizio kama kuna style of play timu...
Maino apate tu kocha atakaefungua potential yake yote maana anafurahisha kumuangalia na mpira mguuni.
Ila timu kama hii kutuchezea nusu uwanja sio sawa ni dharau kubwa mno.
Ile no ya Antony last match garnacho aliicheza vizuri mno utadhani ndo namba yake asili ila huyu ndugu yenu wa brazil hapana asee labda tumpe msimu mwingine..Oooh mlisema anakaba sana okay
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.