Habari za majukumu wakuu,
Niko hapa jukwaani kutafuta fursa ya ajira ya muda au permanent. Nina uzoefu wa kusimamia miradi mbalimbali kama project coordinator, kukusanya, kuanalyze na kumanage data kwa ujumla kwa kutumia excel au statistical packages kama SPSS,STATA etc.
Pia nina teaching...
Hapo ,huna mpango wa kuzaa tena kwa sababu gani??? Please usimruhusu MTU mmoja akuaribie mipango yako bibie kwani wewe sio single mom wa kwanza kuna wenzako kibao walitelekezwa na wakaanzisha familia nyingine pia hawakuruhusu hiyo situation iwarudishe nyuma.
Labda kama ulipanga kuzaa mtoto mmoja...
Am very sorry mdogo wangu ,Mungu akupe ujasiri ila kwani naamini unapitia kipindi kigumu sana ,hata ningekuwa Mimi nahisi ningechanganyikiwa zaidi yako .
All in all maisha lazima yaendelee uchukulie tu kama ugonjwa mwingine like malaria etc na ujitahidi kula vizuri na kufanya mazoezi pia ...
Upo njia panda ???hilo sio suala la kuwa njia panda tena ,piga moyo konde uachane na huyo jangili dadangu muda mwingine upendo tu hautoshi kuwa kinganganizi kwa MTU ambaye hana mda wala future na were.GO WHERE YOU ARE APPRECIATED
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.