Morning wana JF naomba mnisaidie shule gani nzuri ya wasichana yenye mchepuo combination ya ECA kwani nina mdogo wangu kamaliza form four nataka kujua ana GPA 1.7
Ndg wana JF bado sielewe msimamo wa gwajima wakuona ni sahihi kwa kumtusi pengo Askofu anaona lugha chafu ni sahihi sijui waumini wanajifunza nini kutoka kwake?
Kama vijana waliopo kwenye tasisi ndio wataingia kwenye baraza na kuna tasisi kibao za vijana hazina mchango kwa vijana litasaidia nini dereva boda boda au machinga ambao ni vijana?kwa mm binafsi naona hizo siasa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.