Kuna aina mbili za pay Tv. DTH na DTT. DTH ni inayotumia satellite dish na hii sheria haimbani mtoa huduma kuonesha local channels bure kama hujafanya malipo lakini DTT ambazo hutumia antenna ni lazima kuacha local TVs hata kama malipo yamekwisha.
DTH stands for Direct To Home and DTT stands...
Text zenyewe haziendi. Unatumiwa text leo unaipata kesho! Yaani kiufupi mmezidisha matangazo ambayo hayana uhalisia. Sms zenu zisizo na tija kwetu ndio kibao.
Matusi aliyoyatoa Gwajima kwa Pengo hayakua mazuri tena kwa kiongozi wa kiroho unaongeaje namna ile. Siungi mkono alichokisema Pengo kuhusu mahakama ya kadhi lakini hiyo haimpi mtu yoyote kumtolea matusi kama yake mzee wa watu. Gwajima alikosea na anahitaji kuombewa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.