Kuna mambo mengi sana ya kufanya hatuna muda wa kubishana naye hapa tena.Kila mtu kwa muda huu hakikishe anapiga simu au kutext msg kwa ndugu yake na kutoa elimu ondoa ccm .Kila ukiamka hakikisha unaongea na rafiki au ndugu yako kuwa una kichinjio?kama kipo sasa toa elimu.M4C NDUGU KWA NDUGU...
miaka yote mmeshindwa kuboresha miundo mbinu ,sasa leo ndio mnakuja eti Magufuli pekee?,nakubaliana na wewe ni mchapa kazi,lakini swala la kufufua viwanda ,sio lazima reli pekee.ni muungano wa barabara ,reli,usafiri wa baharini,ziwani,kwenye mito mikubwa.Hatuwezi jenga reli kila kona ya nchi hii...
Nakujua upo hapo kwenye computer au umepewa simu ya bure kwa sababu gani?.Lakini jaribu fungua macho kidogo tu,angalia watoto wa binamu yako[ukoo wa mbali]wanaishi vipi??,mdogo wa babu yako anaishi vipi?.nimeandika hivi nina maana kuwa hizo pesa mnazopewa hazitawafikia hao ndugu zako.Sasa...
Helena Ongara sio wa wa Tawi la DMV.Helena ni wa columbas ,ohio.Mimi ni Ludigo Mhagama. ninawatoa hofu makamanda,tutaandika baadae ripoti nzuri kabisa.Mimi ni ndio katibu kwa DMV kwa muda kutokana na katibu wetu kwenda kugombea ubunge.Ninakupeni uhakika huo.Sisi chadema hatufichi kitu kama...
Mimi ndiye katibu wa DMV hapa USA.nashangaa na hii habari.kwani unaonekana huijui washington dc.Huyo mwenyekiti wa wa wanawake hapa DMV ni mwingine.Huyo uiyemtaja hapo juu ni wa tawi la ohio.Pole sana sisi tupo makini sana hata mkwere anajua hilo.Hatumbabaikii mtu ndio maana akitaka kujaza watu...
Kuongeza mikoa,wilaya,wizara nyingi hiyo budget yake ipo.Unajua gharama yake.kuanzia madereva wa wakuu wa mikoa,wilaya,wafanya kazi ofisi ya mkuu wa mkoa,wa wilaya.hata nisiende mbali.mwenye upeo anajua tukibana mianya hiyo basi .tosha kabisa
Leo nimepiga simu na kuongea na ndugu zangu huko vijijini,nimewashawishi ndugu zangu 10 ,na watampigia kura lowasa.Ninaendelea kutumia simu kuongea na kutext kwa jamaa na marafiki kila kona ya nchi.Mtu mmoja kutoka sio kitu.kila mtu mwezi huu awasiliane na jamaa zake ,kweli inafanya kazi...
Mkuu sote tunaitakia nchi tubadilike ,na tusonge mbele.Mkuu rasilimali za nchi yetu hazilingani na kasi ya maendeleo ya nchi.Kwa mfano uranium pekee naweza sema ingetengeneza barabara zote za nchi.Ninger inaitumia hiyo rasilimali vizuri sana.Nchi za wenzetu waarabu wengi wao wana resource moja...
Nakubaliana na wewe kabisa ,kwani mzazi wako alikuacha hakukuwekea mazingira mazuri ya wewe ukuwe vizuri,upate lishe nzuri ili uwe na akili ya kusoma na hatiamaye uwe na maendeleo.Nipo na wewe mkuu
Kwa kweli mabadiliko ni lazima hakuna kulala.tumia muda huu kupiga simu kijijini kwako ,kwa rafiki zako wote ktk huu mwenzi mmoja ,ili utoe elimu ya kupiga kura na kulinda kura.kila kituo waende na taa zao [taa za kandili au karabai]kwani hatutachechewa mchezo wowote.washa taa kabla giza...
Kwani kuna tatizo ukitukanwa sema utauona ujinga wangu october 25.Hapo ndio utajua.Tunajua mmetumwa kuitetea ccm kwenye mitandao.nakuomba mtazame ndugu yako wa mbali .hiyo pesa unayopata haiwezi kusaidia kila mtu kwenye ukoo wenu.tunahitaji ukombozi wa jumla.
Watu hatufuati pesa tunataka mabadiliko.nyie mko huko ccm ndio maana hamuangalii matatizo ya ndugu zenu mnaangalia pesa tu,aibu hiyo ndugu.badilika .shangazi zako ,bibi zako na binamu zako wanaitaji mabadiliko ya kweli
Angalia vitu gani anapendelea sana sana.Husimlazimishe mapenzi ,wewe toka naye out ,fanya shopping.Na wale husimwombe mapenzi.mletee zawadi kubwa ambayo alikuwa anaiongelea.alafu wewe endelea kama vile unatoka nje vile kwenda kuongea na marafiki zako.Husikae sana nyumbani.hukimletea zawadi ongea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.