Mfano Ghana, unakumbuka uchaguzi wa 2012 pamoja na uchaguzi kutangazwa kuwa wa huru na haki huku rais akishinda chama tawala na wabunge wengi toka upinzani. Wapinzani bado walipinga mpaka mahakama ilipotoa hukumu mwezi Agosti 2013 kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki ndipo walipokubali. Changamoto...
Niwie radhi Erythrocyte kama unaona nimekutukana na nimekukwaza lakini sikumaainisha hivyo ndugu yangu. Inanipa shida sana kuona mtanzania anashabikia athari ya jambo kana kwamba hilo litawapata wana CCM peke yao. Sisi watanzania wa vyama vyote tutafaidika au kuathirika na jambo lolote lile...
Tanzania bado ni moja ya nchi za kupigiwa mfano au unajifanya kujitoa ufahamu. Jaribu kuweka nchi moja tu ambayo unaweza kusema inayo demokrasia ya kweli kuishinda TZ. Endelea kufurahia upumbavu na ujinga wako lakini utakapopata akili nafsi yako itakuambia your thinking capacity were far beyond...
Upo sawa kabisa. Kwanza kuna maswali mengi ya kujiuliza hivi pamoja na cv yake haijakamilika kwa majubu wa madai, hivi hiki chuo cha uingereza hakikuangalia background ya elimu yake. Tuache uzandiki kwani vita amechaguliwa na wananchi wa Namtumbo kwa kuzingatia sifa walizoona anazo. Ila hoja...
Tuache ushabiki wa siasa katika mambo muhimu kama huduma ya maji. Ni kweli kuna tatizo la maji lakini sidhani kama jibu alililosema limetoka katika ofisi za idara ya maji (SOUWASA). Moja ya maeneo ya miji ya Tanzania ambako huduma ya maji hupatikana kwa wakati wote isipokuwa mwezi mmoja au...
Na haitawepo. Jamani wa tz tuwe wakweli simtetei MAGUFULI ila tatizo nisheria zetu na utendaji wetu. watu wametoa mifano mingi ya hasara ambazo zimesababishwa na maamuzi ya POMBE MAGUFULI. Mimi naungana naye kwani hasara za fidia, gharama za kutunza samaki ni ujizuzu kwa sababu wizi wa samaki...
Naon tunatakakuingizwa katika mgogoro ambao utachafua hali ya amani nchini. Tusishabikie leo tunaipongeza sirikali juu ya iman na tunailaani juu ya mwanahal
mi nakubaliana nawe kuwa kwa ndomba hakukosea. jamani jeshi sio chama cha siasa kinachohitajika utendaji. mimi nilitegemea tutamsifia jk alifanya vizuri bila kuangalia seniority na kuzingatia utendaji zaidi. i wish all of them
Membe ni kichwa kwa sababu hasemi kitu ili kuwafurahisha mabwana zako western. amekuwa mstari wambele kupinga uonevu kule libya, palestina na hata kuhusu mpaka na malawi. i admire him and wish he is right next co
you might be among those 9. but if you realy have love and wish peace to your fellow beings without any bias, i hope you would have been supported palestinian
nakushukuru mzee wetu kwa historia nzuri. tunaomba jina la kile kitabu nami nakiri wajerumani wanaweza kutusaidia sana kwa hili. serikali yetu itafute doc zote najua peramiho ziytapatikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.