Search results

  1. kinja

    Kusitishwa Msaada wa Marekani Uwe Mwanzo wa Kusitishwa Mingine

    MMM umenena vya kutosha na uchambuzi wako ni makini kwa wanaoangalia mambo bila kusukumwa na hulka za kiitikadi. Hongera na mwenyezi Mungu akubariki
  2. kinja

    Tamko la ACT-Wazalendo juu ya kusitishwa misaada ya MCC

    Mfano Ghana, unakumbuka uchaguzi wa 2012 pamoja na uchaguzi kutangazwa kuwa wa huru na haki huku rais akishinda chama tawala na wabunge wengi toka upinzani. Wapinzani bado walipinga mpaka mahakama ilipotoa hukumu mwezi Agosti 2013 kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki ndipo walipokubali. Changamoto...
  3. kinja

    Tamko la ACT-Wazalendo juu ya kusitishwa misaada ya MCC

    Niwie radhi Erythrocyte kama unaona nimekutukana na nimekukwaza lakini sikumaainisha hivyo ndugu yangu. Inanipa shida sana kuona mtanzania anashabikia athari ya jambo kana kwamba hilo litawapata wana CCM peke yao. Sisi watanzania wa vyama vyote tutafaidika au kuathirika na jambo lolote lile...
  4. kinja

    Tamko la ACT-Wazalendo juu ya kusitishwa misaada ya MCC

    Tanzania bado ni moja ya nchi za kupigiwa mfano au unajifanya kujitoa ufahamu. Jaribu kuweka nchi moja tu ambayo unaweza kusema inayo demokrasia ya kweli kuishinda TZ. Endelea kufurahia upumbavu na ujinga wako lakini utakapopata akili nafsi yako itakuambia your thinking capacity were far beyond...
  5. kinja

    Maafisa wa Kenya, akiwemo Katibu Mkuu wa Nishati wadakwa bandari ya Tanga

    Hongera kwa uchambuzi mzuri na tukimaliza sekta hii tuhamie utalii mpaka washike adabu. Tanzania kwanza
  6. kinja

    Kumbe Jk alipewa urais na Lowassa sio kura za wananchi

    Kama naanza kumwelewa Mkapa
  7. kinja

    Zitto Kabwe atakuwa live hotmix EATV

    Big up
  8. kinja

    Vita Rashid Mfaume Kawawa

    Upo sawa kabisa. Kwanza kuna maswali mengi ya kujiuliza hivi pamoja na cv yake haijakamilika kwa majubu wa madai, hivi hiki chuo cha uingereza hakikuangalia background ya elimu yake. Tuache uzandiki kwani vita amechaguliwa na wananchi wa Namtumbo kwa kuzingatia sifa walizoona anazo. Ila hoja...
  9. kinja

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Gabriel Kimolo ahamia CHADEMA

    umenikumbusha tena jamaa huyu hafai amshukuru war vinginevyo angeungana na akina mashilingi kwani alimsapoti mjomba sumu ye.
  10. kinja

    Maji hadi mvua ianze kunyesha-SOUWASA SONGEA

    Tuache ushabiki wa siasa katika mambo muhimu kama huduma ya maji. Ni kweli kuna tatizo la maji lakini sidhani kama jibu alililosema limetoka katika ofisi za idara ya maji (SOUWASA). Moja ya maeneo ya miji ya Tanzania ambako huduma ya maji hupatikana kwa wakati wote isipokuwa mwezi mmoja au...
  11. kinja

    Huge Economic loss caused by Magufuli

    Na haitawepo. Jamani wa tz tuwe wakweli simtetei MAGUFULI ila tatizo nisheria zetu na utendaji wetu. watu wametoa mifano mingi ya hasara ambazo zimesababishwa na maamuzi ya POMBE MAGUFULI. Mimi naungana naye kwani hasara za fidia, gharama za kutunza samaki ni ujizuzu kwa sababu wizi wa samaki...
  12. kinja

    Radio Imani, Kwa Neema FM zafungiwa... Clouds FM yatozwa faini!

    Naon tunatakakuingizwa katika mgogoro ambao utachafua hali ya amani nchini. Tusishabikie leo tunaipongeza sirikali juu ya iman na tunailaani juu ya mwanahal
  13. kinja

    Ufisadi wa Zitto & Mwakyembe kuhusu MV LIEMBA

    Hapo umenena. huyu jamaa katumwaa
  14. kinja

    JK awapandisha vyeo majenerali

    mi nakubaliana nawe kuwa kwa ndomba hakukosea. jamani jeshi sio chama cha siasa kinachohitajika utendaji. mimi nilitegemea tutamsifia jk alifanya vizuri bila kuangalia seniority na kuzingatia utendaji zaidi. i wish all of them
  15. kinja

    Hivi ndivyo viwango vya elimu vya 'majembe' ya CHADEMA!

    mbona karibu wote ni vilaza ndio maana wanampiga jungu zitto. sishangai hoja zito huwa inatolewa na kabwe
  16. kinja

    Palestine thanks Tanzania for support at UN

    Membe ni kichwa kwa sababu hasemi kitu ili kuwafurahisha mabwana zako western. amekuwa mstari wambele kupinga uonevu kule libya, palestina na hata kuhusu mpaka na malawi. i admire him and wish he is right next co
  17. kinja

    Palestine thanks Tanzania for support at UN

    you might be among those 9. but if you realy have love and wish peace to your fellow beings without any bias, i hope you would have been supported palestinian
  18. kinja

    Ziwa Nyasa Mali Yetu Upande Wetu Tanzania

    nakushukuru mzee wetu kwa historia nzuri. tunaomba jina la kile kitabu nami nakiri wajerumani wanaweza kutusaidia sana kwa hili. serikali yetu itafute doc zote najua peramiho ziytapatikana
Back
Top Bottom