Wakuu naona hamkunielewa vizuri. Ukisoma between the line kwenye ujumbe wangu utaona kuwa nimesema sina uhakika kama ridhaa y mgonjwa inatekelezwa ipasavyo. Bahati nzuri mimi nimefanya utafiti kweli holi suala la hiv testing and counselling. Haimanishi mimi nasupport kile ambacho kimetokea bali...
Wakuu naona hamkunielewa vizuri. Ukisoma between the line kwenye ujumbe wangu utaona kuwa nimesema sina uhakika kama ridhaa y mgonjwa inatekelezwa ipasavyo. Bahati nzuri mimi nimefanya utafiti kweli holi suala la hiv testing and counselling. Haimanishi mimi nasupport kile ambacho kimetokea bali...
Nafikiri kuna jambo ambalo bado halijafahamika kwa Watanzania wengi. Katika upimaji wa Vvu tanzania kuna aina tatu: voluntary counselling and testing; PMCTC kwa ajili ya akinamama wajawazito; na Provider initiated testing and counselling ambayo imeanza rasmi mwaka 2007. Kwenye hii aina ya tatu...
Nafikiri kuna jambo ambalo bado halijafahamika kwa Watanzania wengi. Katika upjmaji wa Vvu tanzania kuna aina tatu: voluntary counselling and testing; PMCTC kwa ajili ya akinamama wajawazito; na Provider initiated testing and counselling ambayo imeanza rasmi mwaja 2007. Kwenye hii aina ya tatu...
Hiyo Democratic na Transparency anayoisema huyu Obama iko wapi? Ni ile ya watu kukesha kwenye majimbo yao kulinda kura zisichakachuliwe? Hii ndo transparency and democracy? Ni ile ya NEC kufanya tallying ya matokeo kwenye maficho? Naona huyu jamaa naye anataka tu kujifurahisha. Sishangai kuona...
MM,
Hili suala la kuprovide free education inawezekana kabisa. Tunachokikosa Tanzania ni uongozi ulioamua kulitekeleza hili. Uganda ni nchi maskini sana na hawana rasilimali ambazo sisi tunazo. Sisi tuna kila kitu cha kuweza kuinua uchumi wetu na kuweza kuleta maendeleo kwa wanachi wetu...
G, hata mimi nakubaliana na wewe kabisa. Kuna haja ya sisiem kuwa na mgombea uraisi mwanamka maana hiyo nafasi toka uhuru inashikiliwa na wanaume. Lakini kama ulivyosema wangeanza hapo kwa makamba kwanza.
wote mlioandika kuhusu wakina mama mnahitaji msaada wa uelewa kwamba binadamu wote ni sawa na wanamama ndio wenye busara kuliko zenu mmejionyesha kwa uandishi wenu wa kudhrau wanawake. POLENI NATAMANI MUENDE KOZI YA GENDER. NADHANI HAMJASOMA POLENI SANA . pIA HAMNA HESHIMA . ppOLENI SANA NA...
Naona sera zako hazina mashiko kabisa. Kama hao wananchi walikupenda kwa sababu ya sera hizo basi wamekula hasara kabisa. Mimi naamini kabisa elimu bure Tanzania inawezekana kama serikali ikiamua kufanya hivyo. Huyu mwananchi unayemchangisha wewe analipa michango mingine lukuki in all walks of...
Ama kweli jasiri haachi hasili. Hapa inadhihilisha wazi kuwa serikali ya sisiem haiko kwa manufaa ya wananchi. Mbona kipindi chote hicho hii Taasisi ya Kukuza na Kurutubisha Rushwa haijawahi kutoa tamko kama hili. Kwa nini ni kipindi hiki tu ambacho mzee wa vijisenti anaomba uspika?
Binafsi...
Yani huyu mzee wa vijisent hafai hata kidogo. Inamaana yeye anaenda bungeni kutetea tena ufisadi? Nilifikiri atakuwa amejifunza kumbe hakuna kitu kabisa. Sijui kwa nini wanachi wa barihadi wamemrudisha tena huyu jamaa
Mimi binafsi nashangaa sana kusikia hoja za udini na ukabila ndali ya Chadema. Jamani kitu chochote lazima kiwe na mwanzilishi, lazima tukubali hilo. Eti kwa kuwa Chadema kilianzishwa na watu wa kaskazini basi ni chama cha ukabila, nadhani sio sahihi. Kuna wanachama nchi nzima na wengine...
Sidhani kama hiyo interpretation ni sahihi. Kwani Pinda ni Mbunge wa kuteuliwa? Kateuliwa na nani? Nafikiri kwa kuwa amepita bila kupingwa ina maanisha ni mbunnge wa kuchaguliwa.
Binafsi nakubalina kabisa na msimamo wa Dr Slaa kukacha sherehe za JK. Hata hivyo nawatakia mazungumzo mema. Mungu awape hekima zaaidi katika hili. Natumaini tutafika mahali pazuri kabisa kwa manufaa ya nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.