Mi sioni tofauti ya serikali... Iwe ya Muungano au SMZ....Kinaongoza Chama kilekile pande zote mbili! Japokuwa kwa mtazamo wangu Serikali ya Muungano ndo inawajibika zaidi katika masuala ya usalama wa raia!
Inasikitisha sana.....
Eti watu binafsi wamejitolea kuendelea kuopoa maiti za waliozama na Mv SKAGIT huko Z'Bar (japo Serikali imesusa kuendelea na zoezi hilo)... na leo zimepatikana maiti tano. Na wamekiri kuwa kuna maiti nyingine nyingi tu zimenasa kule chini.
Cha ajabu ni kuwa serikali...
Umeeleweka lakini hakukuwa na sababu ya kukopi gazeti zima.... Ungeleta hoja vizuri kuonesha UDHAIFU wa Makinda katika suala hili then tuone anajiuzulu vipi...:A S-baby:
hiyo mbona rahisi Dr Kupeng'e... Click kwenye hiyo link udownload na kupata the latest version of Flash player. Then install... jaribu kufungua tena, hopeful itakubali na pia hakikisha kama internet speed yako haiko chini sana!:hat:
Wakati wa ukombozi wa Tanzania ni sasa, kila mmoja awe sehemu ya ukombozi huu kwa kupinga Ufisadi na kuhimiza uwajibikaji katika ngazi zote za mahamuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.