Nina mdogo wangu wa damu kabisaa ananifata ambaye ameolewa,jana kaja kwangu ananiomba nimshauri na tatizo lenyewe nii."
Akisex na mumewe wanafanya vizuri inapofikia mumewe ana ejaculate.Sasa yule bwana anaumwa kichwa cha ajabu mno kuanzia anapotaka kuejaculate mpaka dakika kumi baada ya sex"...
Nikiwa mjini Tanga STIMA ni chakula maarufu sana mjini hapo, ni tamu sana na watu wengi hulisifia sana, unapata STIMA ya kuku, mbuzi au ng'ombe.
Sasa mimi natamani sana kujua namna ta kulipika naomba yeyote ajuae anjuze tafadhali.
Sijui kama nimekosea jina au laah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.