iv kila mfanyakazi wa nchi kuanzia rais na kuendelea akikatwa sh 500 kila mwezi kwa mwaka zitapatikana shin ngap? Mbona uonevu sana kwa mama watoto wangu.
Leo ni tarehe 4/6/2014 wizara ya fedha inapitishiwa bajeti yake mjengon Dodoma lakin waajiriwa wa RAS Iringa wanakufa njaa. Kulikoni? Ukiuliza sababu Exchequer imechelewa, how? Utata mtupu. Je wagome au waendelee na kazi!! Wakianguka kazini? Itakuaje!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.