Search results

  1. 2mbaku

    Audit kubwa Migodini

    Imetokea lini hiyo mkuu
  2. 2mbaku

    Barua Kwa Jakaya Kikwete

    Kweli Nyalandu sharp shooter
  3. 2mbaku

    Rais Mutharika: Ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi

    Maji yenyewe hayana hela, ngoja turudishe iz kwanza ili tulipe madeni ya dawa na barabara
  4. 2mbaku

    Kikwete aunga mkono serikali tatu, asema muda wa matakwa yao haujafika

    Kinywa hunena yale yaliyo moyoni, gooo kikwete, tetea moyo wako mheshimiwa rais.
  5. 2mbaku

    Jaji Sinde Warioba: Siendi Dodoma kwenye makabidhiano ya Katiba

    Sometimes when you gumble you loose, nature holds the vacuum
  6. 2mbaku

    Huyu anaitwa, Deo Sanga

    Naona busha linatikisika tu
  7. 2mbaku

    Kasimu majaliwa anachangia sh.ngapi kwa mwezi kwa ajiri ya ujenzi wa maabara za shule?

    iv kila mfanyakazi wa nchi kuanzia rais na kuendelea akikatwa sh 500 kila mwezi kwa mwaka zitapatikana shin ngap? Mbona uonevu sana kwa mama watoto wangu.
  8. 2mbaku

    Mishahara wafanyakazi walio chini ya ofisi ya Katibu Tawala Mkoa Kimyaaa

    Mvumilivu hupata vidonda vya tumbo
  9. 2mbaku

    Mishahara wafanyakazi walio chini ya ofisi ya Katibu Tawala Mkoa Kimyaaa

    Leo ni tarehe 4/6/2014 wizara ya fedha inapitishiwa bajeti yake mjengon Dodoma lakin waajiriwa wa RAS Iringa wanakufa njaa. Kulikoni? Ukiuliza sababu Exchequer imechelewa, how? Utata mtupu. Je wagome au waendelee na kazi!! Wakianguka kazini? Itakuaje!!!
  10. 2mbaku

    Tanzania yapaa Kiuchumi - sasa ni ya 12 AFRICA

    Mbona wale walio eti chini ya Tanzania maisha ya wananchi wao yana unafuu? Uchumi wa wachache kweli. To hell with this report.
  11. 2mbaku

    Kwanini baadhi ya Watanzania wanampenda Lowassa pamoja na Kashfa zake?

    Hacheki cheki, anafanya kazi kwa vibration.
  12. 2mbaku

    Mambo 6 yanayomfanya mtu awe kiongozi bora na sio bora kiongozi

    Masikini Tanzania, kumbe tuna bora kiongozi, rais wetu hana hata sifa moja ya kiongozi bora.
  13. 2mbaku

    Madiwani wawili wa CHADEMA Shinyanga wajiuzulu

    ushavyozwa, mambo ya jirani yanakuhusu nini kama si umbea, ndio maana hata ujumbe wa bunge maalumu hukupata
Back
Top Bottom