Mambo Kumi Muhimu Kuhusu Dk Willibrod
Peter Slaa
2
Dk Willibrod Peter SLAA
1. Anachokisimamia
 Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, uamakini na uwajibikaji katika
uongozi wa nchi na utendaji serikalini.
 Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzania wanaweza kuleta mabadiliko
wanayoyataka...
Issue ni kwamba ki haki na kiualali kabisa dr slaa ni rais, ila sasa kwa kuwa mgombea urais wa ccm ndiye mwenye serikali na majeshi yote na nec amewachagua yeye kwahiyo kura lazima zitaibwa tu,labda mniambie ni mikakati gani ya ulizi iliyo wekwa kuthibiti wizi wa kura? Peopleeeees? So justtell...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.