maex watamu eeehh?? stori hii na ile nyingine ya yule alietoa penz kwa x mchana na 'hubby' usiku zimenifanya nitafakari upya uamuz wangu wa kutaka kuoa!!
wewe ni mpumbavu sana tena sio kidogo!!
yan unajisifia kuchepuka, eti nina michepuko mingine mitatu, kha???
yan sasa ndo nataman kile kisa cha dada kushika mimba ya x wake (kulala na x mchana, usiku mme) kingekuhusu ww...
NYIE NDO MNAFAA KUOA WAKE WENYE ROHO YA SHETAN MLEE VITOTO VISIVYO...
km kuchepuka wacha wachepuke ila hili la kumletea mtu mtoto asie wake alee as if ni wake,, huu ni UVUNJAJI WA HAKI ZA WANAUME!!
wanawake wa aina hii hata sijui wapewe adhabu gani
hiyo ni ya mchepuko tu mana mchepuko ndo alieanza kulala nae....
pili kibiolojia x wako huwa na nguvu hivyo anarelease virutubisho kwa uharaka.... ipo complicated kidogo lakn ktk hali hii hata angeanza mme then x ingekua ya x tu
hebu wacha ujinga wako basi..... hapa hatulaumu kuchepuka kwake ila tunalaumu kumbambikizia mmewe mimba/mtoto asie wake kwa maksudi...
km alitaka kuchepuka si angetumia kinga tu?? yann kulala na x wakat unajua upo siku hatar??
ivi ww unajua uchungu wa kulea mtoto asie wako?? mke hapo hana cha...
kuna watu (sijui tuite watoto) hapa jukwaan kazi yao kubwa kubisha tu.....
ivi nan hajui km wanaoguswa huko bandarini na TRA ni ccm damu damu?? nani hajui km hao ndo wanaofanya ccm ipate jeuri ya pesa??
nyie watoto mlioko humu jifunzeni, sio lazima kila uzi mchangie.....
anachagua team yake kutoka ktk wale available..... sasa una uhakika gan km taarifa za jamaa alizopewa coach zilkua sahihi am sio sahihi??
wabongo tuko judgemental sana kwenye vitu vya kitaalam.... km sio eligible ilkuaje bench zima la ufundi wamwache RB ampange huyo jamaa?? does that make sense???
bado mko kwenye 'mapenzi' mkuu na nyie ndo mara nyingi hupasha viporo.....
huwez kukubaliana na hili kwa sasa, may b hakuna anaetaka kuliongelea!!
case ya pili ni kwamba huenda hamkuwa kwenye 'mapenzi' ndo mana hamuoni tatzo kuendelea kuwa marafiki... dhana halisi ya mapenzi ikiondoka hamwezi...
mwisho wa siku tunapata funzo kwamba madrid siku izi haina utamaduni unaoeleweka!!!
hawa OVERRATED & OVERHYPED galacticoz ni hovyo kabisa.....
nataman zirud enzi la RAUL
mkuu management haiko km unavowaza wewe..... hii ni kazi ya jopo zima la ufundi... kumbuka kuna team analyst, kuna wa kutunza record usidhan RB aliamua yeye na mkewe hiko kikosi...
hii ni aibu ya uongozi wote wa madrid toka president mpk watunza vifaa..... subir uone fukuto lake baadae.... haya...
mkuu chukua hii toka kwangu itakusaidia...
ukikuta bado mko marafiki na x wako ni dhahiri kwamba
1. hamjawah kua kwenye 'MAPENZI'
2. bado mko kwenye 'MAPENZI'
zaid ya hapo HAIWEZEKANI ....CHUNGUZA
msichana na mvulana ni wale tu ambao hawajawahi zini..... hii ndo tafsiri halisi ya hayo maneno.....
ndo mana wale watawa wanaitwa 'sister' sio makosa bali ndo ukwel...
ukishazin ww ni mwanaume au mwanamke....
ukizaa wewe ni mzazi (mama au baba) hata km mtoto kafariki ...
GOT ME??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.