siasa za Marekani ukizitazama kwa jicho la Tanzania huwezi kuzielewa kabisa. Kwanza kuna vyombo vingi vya habari na kila chombo cha habari kina mlengo wake wa siasa. Kwa ivo usipofanya subira na kulinganisha kile unachopata toka kwenye kimojawapo cha vyombo hivyo vya habari na habari toka vyombo...
Mjadala huu unaturudisha mara kwa mara kuja kuchungulia JF kuna nini. Nguruvi3 Mag3 na wengineo mnatufanya tukumbuke zama zile. Kwa kweli majadiliano yenu yanatupa faraja kwamba JF itaendelea kuwepo active kwa kipindi kirefu kijacho..
Mimi ni mkristo kwa viwango vyote vinavyotanmbulika duniani, kwa ivo maoni yangu dhidi ya kanisa (Siyo dhehebu) ni halali na si dhidi ya dini ya watu wengine kwa ivo ni lazima yaheshimiwe kama maoni binafsi.
Kanisa ni wale wote ambao wanaamini kwamba Kristo alizaliwa na Bikra Mariam...
Haya mambo Nguruvi3 yana shina lake na hilo shina linalisha mti unaotoa lishe kwa watu wengi sana na kwa bahati mbaya wakitoka hapo hawana pa kwenda na wakikosa pa kwenda pia watakosa na mlo wao wa kila siku. Huko tulikotoka tuliona kama vile tupo kwenye ardhi oevu, lakini hapa tulipo ni kama...
Nguruvi3 na Mag3 kwa mfano mambo haya yakiselelea mpaka kwenye Impeachment ya Trump je Dems wapo tayari kuzihimili athari zake? Na kwenye uchaguzi ujao nafasi ya Dems itaongezeka ama ndiyo itapotea kabisa?
KWANINI CHADEMAWAMEMCHUKUA LOWASSA??
(Kama una akili ndogo usisome)Mnamo mwezi February mwaka huu Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) waliingia ubia na kampuni maarufu duniani inayojihusisha na tafiti za siasa (Political Research) ijulikanayo
kama Greenberg Quinlan Rosner. ( Greenberg Quinlan...
Kila siku tunapiga kelele humu ndani tukisema fanyeni jambo la kwanza kwanza (First thing First) tunaambulia kuitwa magamba! CCM haijawahi kushinda uchaguzi eti kwa kuwa ina wagombea wazuri au ina sera nzuri. CCM hushinda kwa kuwa ina mikakati timilifu, basi!!
Nimeona walivyo weka kama chambo kwa kumweka Membe, Team Lowassa wakarudi kupiga kura kumtoa Membe na kwenye Mkutano Mkuu kumtoa Asha Rose Migiro. Lakini hiyo ni njia iliyotumiwa kuzima uasi wao!!
NAMTUMBA CHADEMA walishawahi kuwa na Mgombea Mwenza Mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 Bi Mkubwa Anna (Maulida) Komu! Au uwe unamaanisha una mashaka na ubora wa Bi Samia Suluhu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.