Nimekumbuka uandishi wa gwiji wa kiswahili Seif Khatibu(RIP). "Walaji hupendwa sana na tuhuma zikizidi huamishiwa kwa Jana na akale kwa juhudi"
hii ndiyo desturi ya viongozi wengi kutoka chama like.
Hakika hili janga la corona linalazimishwa hapa nchini,wanaoshabikia hatua zinazochukuliwa na mataifa mengine no wazi wanafaidika kwa namna moja ama nyingine.
Bila aibu kamati ile inapendekeza serikali iangalie uwezekano wa kufungia watu(lockdown)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.