Wanabodi,nimemuona mkurugenzi wa manispaa ya Ilala bwana mungurimi akiwa na mwanasheria wa manispaa hiyo wakidai Wana zuio la mahakama,ukweli ni kwamba wanatafuta kila njia waibebe ccm hata kwa kuwatumia polisi na huku mahakama imitumika kama ngazi tu. Hawa waliisha kula nyama ya watu kamwe...
Wanajamvi, sasa ni dhahiri kabisa kuna mtandao wa ugaidi hapa nchini.Lakini mbona jeshi letu la polisi halionyeshi dhamira na ukakamavu kama ule wakati wanawashugulikia akina Lwakatare wa chadema?Sote tunajua wazi kuwa ile picha ililenga kuwaminisha kuwa chadema kuna magaidi ilitungwa ili...
Wana jf. Tumeshuhudia mkanganyiko wa viongozi kuhusu mahakama ya kadhi, Rais kasema serkali haitajihusisha na mahakama hiyo,anaruka kwenda usa masaju na pinda waandaa msuada wa mahakama ya kadhi ili uwasilishwe bungeni. Hivi hii ni serikali ya namna gani jamani? Rais kikwete awe makini na baadhi...
Wanajamvi ni muda mrefu sheria nyingi wananchi wamezilalamikia kuwa hazina manufaa kwa taifa lakini utawala huu wa kikwete hawakutaka kusikia mfano mikataba ya madini, misamaha ya kodi kwa wanoitwa wawekezaji, deni la taifa na mengineyo mengi. Baada kunufaika na mfumo huo wa wizi na...
kumetokea wizi mkubwa wa fedha za tegeta escrow wezi ni viongozi wa ngazi za juu wa chama cha ccm na serikali yake,hatujawahi kusikia kauli wala hatua kuchukuliwa na jeshi la polisi. waliokamatwa na kufikishwa mahakamani ni makarani wa taasisi mbalimbali lakini wachonga dili jeshi la polisi lipo...
wanajamvi nimekuwa nafuatilia ziara ya waziri magufuli ya ukaguzi wa barabara mikoani na matamshi anayoyatoa kwa wananchi juu gharama ya ujenzi wa barabara hizo,mh magufuli bila hata aibu huku akijua anawadanganya wananchi kuwa barabara hizo zinajengwa na ccm,huku akijua kuwa ni fedha...
Wanajamvi rejea somo hilo hapo juu.
Nimewaza,nimetafakari na sasa nimeamua kuwasiliana na mawakili kuangalia namna ya kuwafungulia mashtaka viongozi wa awamu ya tatu na awamu hii ya nne kwa kujimilikisha nyumba za umma.
Hawa ndiyo nitaiomba mahakama iwaite mahakamani kujibu tuhuma hizi.
A)...
wanabodi kama tujuavyo the election is just around the corner,ni vyema kila mtanzania mpenda nchi hii kutoa elimu ya uraia kwa kila ukutanae iwe njiani,ndani ya vyombo vya usafiri,kwenye majumba ya starehe yaani popote pale unapokutana na mtanzania mwmbie akajiandikishe na kisha aende kupiga...
wanabodi mtakumbuka kama miaka miwili hivi imepita uvccm mkoa wa pwani baada ya kumaliza kikao chao walikuja na tamko kuwa rais ajae hawezi kutoka kaskazini na kwamba rais ajae ni rais kikwete ndiye anamjua,hivi kweli kutokana na mambo ya ovyo mfano wizi,utapeli na ufisadi wa kupindukia tukubali...
Wapendwa wanajamvi hivi mh.rais kikwete matukio haya ya wizi wa mamilioni ya fedha za umma yanayotokea ktk serikali yake mbona hatusikii akiyatolea kauli? Ukatili mkubwa na wa kishenzi unaofanywa na polisi kuua watu kudai na kupokea rushwa kwa nguvu {asikari wa pikipiki} na uchafu mwingi kwa...
wanajamvi kwa utafiti mdogo tu Mh edward Lowasa ndiye pekee anayeweza kuwakabili ukawa hasa kama ukawa watamteua Dr Slaa kama mgombea wao, hawa wengine wanaojitangaza kila kukicha ni makapi ya chama changu ccm. tuna uhakika anaempiga vita ni uongozi wa juu wa chama kwa sababu zao zilizo wazi...
Moderator:Ni kwa namna gani hii nchi ikahalalisha fedha zilizoibiwa kwa kukatwa kodi kama fedha halali ilhali waziri akijua kuwa zimeibiwa toka benki kuu.Wakati huo naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba akitaka zikatwe kodi bila ya kawakamata watuhumiwa(wezi) hao na kuwashtaki pia kurejesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.