Swali la kwanza = Hakuna
Swali la pili=Hakuna
Swali la tatu=Hakuna
Muulizaji anauliza kutimiza itifaki tu ama?
Waitikiaji nao?
Hizo swing wakati na kushika kipaza sauti na total body motion yake ni attitude ama?
Huyo jamaa mwenye Ndevu na upara kamuangalia mshika kipaza sauti kichwani mpaka...
Unaweza kuweka hapa background profile yake na utendaji wake katika Siasa mpaka sasa?
Nimekua interested maana naona hapa kuna hoja za pande mbili zaidi, upande mmoja unamkataa (CCM + CDM) na upande mwingine unamkubali (CDM + CCM).
Pia hint ya jina lake kukatwa uchaguzi mkuu 2020 licha ya...
Hapo kwenye bold…
Hao viongozi wanatokana na sisi wananchi wenyewe, hawatoki kuzimu.
Kinachowajenga na kuwapa nguvu kuwa hivyo walivyo sasa ni jamii yetu. Wao ni zao letu, ni watu miongoni mwetu na matokeo ya mienendo ya jamii yetu.
Bado kuna jambo lipo linalosababisha hii tofauti kati yetu...
Swali la msingi, Kuna ushahidi kwamba anaetuhumiwa kujihusisha na vitendo hivi ni kweli anahusika navyo? Ushahidi huo ni pasi na shaka?
Na Kama ni kweli basi muhusika kwa mujibu wa sheria ambazo zimetungwa kwa mujibu wa jamii yenye mila, tamaduni na desturi zake, ameshiriki mapenzi ya jinsia...
Kweli?
Unataka kusema mtaa/jamii unaoishi wewe kila mmoja yuko na anachohitaji kwa asilimia 100?
Hakuna kabisa chochote unachoweza wewe kuwa chanzo chake ndani ya jamii/mtaa wako? Kabisa?
Ama utendaji ulio bora zaidi ni pamoja na kutumia rasilimali ya bure ya uwezo wa kuakili kubuni/ kutengeneza nyenzo za kukuwezesha kukabiliana/kuishi ndani ya mazingira yako?
Utendaji wa subjects wa mleta mada ni pamoja na kuthubutu na kuweza kutumia akili/bongo zao effectively.
Hoja ipo.
Uko sahihi.
Lakini mleta mada yuko sahihi pia. Sana.
Swali la kujiuliza ni ubora na utendaji wa watu wa huko ndio umewapa Mfumo thabiti unaowalinda wote kwa usawa ule ule kiasi kwamba matokeo mwisho wa siku ni almost sawa kwa wote kwa mujibu wa hiyo willingness ya kulipa gharama yoyote ili...
Ingekua hivyo kungekua na Mtume mmoja tu wa kipindi kimoja tu au?
Maana kama Imani haiongozwi na maono mitume wengine walipata wapi wito wao?
Wale wote walioyagusa maisha kwa namna moja ama nyingine walitudanganya waliposema “walipata maono fulani na fulani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.