mimi kwa askofu ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu, lakini lazima tukubali kuwa ktk utawawala wa makanisa yetu tutapa viongozi ambao wako tayari kutumia joho la kuwaongoza konndooo wa bwana kwa manufaa ya kisiasa. Naamini askofu wetu amepotoka hapa, hebu washauri wake wa karibu wamsaidie...
Arusha imelipuka kwa furaha kinachosikika sasa ni mayowe ya furaha na honi za magari.Huyu mama aliwahi kutamka ktk moja ya kampeni zake kuwa watu wa Arusha mtake msitake mi ndio mbunge wenu" kiko wapi sasa?
Kwa maoni yangu nafikiri ni vyema viongozi wetu wakuu km raisi na waziri mkuu, wakistaafu wapewe stahili zao ambazo ni sawa kama watumishi wengine wa umma. Taifa lisienndelee kubeba mizigo ya kuwahudumia. Viongozi wetu wastaafu tunawapenda na tungependa waishi maisha marefu baada ya kustaafu...
katika itv leo usiku waziri Mkuchika ametoa agizo TFF imchukulie mtu yeyote atakae dhirihika kuhusika na uzembe uliosababisha nyimbo za taifa zisichezwe hapo uwanja wa taifa. Wakati huo akijua wazi kuwa TFF ilishachukukua hatua ya kumsimamisha msemaji wake bw Kaijage.je hamuoni hatua hiyo ya...
Dalili sawa ziko wazi, ila tujiulize ccm wako tayari kufungasha virago? tusije kuwa another Kenya or rather Zimbabwe. Ninachoomba come 31st oct wote twende tupige kura. Kama hatujapata ikulu at least tuwe na majority kwenye bunge ili tukomeshe hiyo arrogance wanayotumia kupitisha miswada mibovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.