Mtangazaji mahiri nchi aliyevuma sana na kipindi cha Jahazi cha CloudsFm kabla ya kuhama radio hyo amerejea tena kwenye Radio hyo yenye makazi yake Mikocheni Jijini Dsm. Gadner ameonekana Katika picha akisaini mkataba mbele ya mmoja wa Maboss wa Radio hiyo Shaffih Dauda na inasemekana atarudi...
Ni shangwe na nderemo kwa wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mjini Dodoma yalipo makao makuu na Tanzania kwa ujumla baada ya Kufanyika mchujo wa Tano bora.
Ulikuwa ni mmpambano uliovuta wengi ni nani na nani watakaoingia kwenye ngwe hii ya Lala salama.
Hatimaye majina matano yametitokeza...
MAKAMBA AWAGARAGAZA MWIGULU NA KIGWANGALAH KAMATI KUU .....
kikao cha kamati kuu ndani ya chama cha mapinduzi. kikiwa kimemalizika na mihemmko ya wengi,Ikiwa juu zaidi ya kifuniko cha soda.
Wengi wakimsubiria kwa hamu Katibu wa chama cha Mapinduzi Ndg. Kanali Abdulrahman Kinana.
Kutaja...
Muda mwingine tupime hata kwa picha mwigulu akizungumza na wadhamin wake .
UTAKUBALI UKATAE MAPOKEZI YA JANUARY MAKAMBA MWANZA
Hapo vipi Dalali kila mahali upo choose ua battle wisely
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.