Habari zenu wakuu! Nahitaji mawazo yenu mke wangu amekua na tatzo la kuwashwa kila baada ya kumaliza tendo.Hali hii inapelekea mwenzangu kunihisi nimechepuka kitendo ambacho kinachoniumiza ndoa yang ipo mashakani.naombeni msaada wenu wa mawazo
*mimi ni kijana mchapakazi,namiliki nyumba yangu mwenyewe na naendesha biashara kibao hapa mjini,natafuta msichana mrembo mwenye umri kati ya miaka 23-28 manzese hapa aniazime charger ya HUAWEI*
*ndugu zangu msopenda ujinga naomba tuvumiliane[emoji23][emoji23][emoji23]*
Siku nilipogundua bangi sio mchicha ni pale ambapo nilitoka ndani kwenda kutoa pesa kwa M-pesa nikiwa na remote ya TV,nikaacha simu ndani...
Nilipofika kibanda cha M-pesa na remote ya TV mzee akaniangalia na kutingisha kichwa...
Ikanibidi nirudi home nichukue simu,nilipofika nilikuta giza umeme...
JOB VACANCY...
Je,unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 900,000/= kwa mwezi.
2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi ipo. Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6...
Ratiba yangu ya oktoba 25:
1. Naamka mapema sana
2.nakunywa juice ya ukwaju kupata hasira
3.naangalia picha kadhaa za wamama wamelala zahanati wanne wanne
4.naangalia picha ya mwangosi
5.nakunywa tena juice ya ukwaju
6.nachukua kikatio
7.nachukua bic zangu mpya nne (mbili za bluu na mbili...
BREAKING NEWS.
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuhusu,
Basi la kampuni ya Mohamed Trans lililokua likitoke Mwanza kuelekea Dar lilipofika maeneo ya Misungwi dereva wa basi hilo alimuwashia taa(full light) dereva mwenzake aliekua akiendesha gari kubwa la mizigo(semi trailler) nalo pia likiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.