Wanawake wakisafwa kwanza ni wachapa kazi, waoga,warembo, si wacha mungu sana,asilimia kubwa hutumia pombe za asiri hasa dadii, pia ni waaminifu sana na wengi wao huanzia mapenzi kwenye ndoa, shughuri yao kuu ni kilimo cha mahindi ,viazi mviringo na maharage.
Mi naomba kujua kuna mazoea gani kati ya wasichana wa duce na wanajeshi wa mgulani pale maana kuna dada yangu mwaka jana alipewa mimba na mwanajeshi wa pale na akajifungua kipindi cha ue so akaairisha mwaka na kuna mdogo wangu anakuja duce so nataka nimpe mwangaza kuhusu mahusiano yaliyopo kati...
wao wenyewe wakupao bumu washakwambia matumizi yake ukifuata pia inasaidia maana kwa siku ni shingapi? ni siku ngapi? na ni kwanini umepewa hicho kiasi,, japo kiuhalisia lazima utumie chini ya kiasi unachopewa kwa siku maana kuna matumizi mengine yanakuja automatic kutakana na masha ya binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.