Hansard ya kikao cha bunge. Sasa hayo maneno yanayotamka fao la kujitoa limesitishwa mbona hatuyaoni? SSRA wasanii fulani (wametokea "wengi wao" PPF -- CEO alikuwa manager wa investment) bado ana uchu wa ku-invest hela zetu za wafanyakazi ktk miradi isiyokuwa na "returns" nzuri. Wabunge wote...
naona wadau mnaangalia mno CSI ktk luninga. Crime scene umesema contaminated... is it a crime scene? maybe SK alikuwa amekamata (whisky - JD chupaa kadhaa.... - Quote from newspaper).. then akaanguka mweyewe... cku ya kifo ni pale mungu anapokuita... haikwepeki
agiza rhodesia ridgeback ndio wazuri kwa ulinzi. matunzo ni muhimu lakini... sio kuwapa mabaki ya kiti moto au mifupa ya makongoro.. be prepared. nenda mali asili & mifugo wizarani watakupa info zote. all the best.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.