Asalam aleikum,
Halmashauri ya jiji Dodoma imekuwa mwiba kwa wananchi wa Dodoma, wanapanga vitu na mipango kiofisi lakini utekelezaji kiuhalisia ni hamna kitu kabisa.
Hivi ile stand ya zamani pale Kimbinyiko iliyokuwa chini ya railway inashindikanaje kuifanya kuwa stand ya usafiri wa daladala...
Mtoto wa mwenye añamzengea Mama Mtu, na kila nikipeleka malalamiko huwaita (kijana wa mwenye nyumba na wife) kwa Maelezo zaidi. Mimi huniambia nisubiri nje baada ya muda Balozi huwa anatoka nakuwaacha ndani kisha hunipeleka baa ya jirani huko ananinunulia Vyupa vya kutosha na kuniambia niombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.