Wachezaji waliokuwa timu za Taifa walipewa muda wa ziada ya kupumzika....wiki kesho timu itakuwa imekamilika......hao makolo Kuna zaidi ya wachezaji wanne na makocha wao hawapo Uturuki
Sheikh asijue kiarabu labda mganga huyo..sema wee umemtafuta mtu tu kwa kuwa ni muislamu.....Sheikh mwenye elimu ya dini hakuna asiyejua kiarabu.....acha uongo.
Yanga hawakuitaka Ile mechi...walikuwa wanajiandaa na mechi za Caf.....na walikuwa wanauona ubingwa wa ligi ya NBC,Simba ilikuwa pungufu point 8.....wachezaji walikuwa wanawaza nusu fainali ilikuwa.
Wazungu wana masharti mengi na magumu...mwishowe unaletewa ma CEO mashoga na ukiwagomea upuuzi wao wanakuwekea vikwazo na hasa hawa EU lao moja....pia gharama zao za uendeshaji zinakuwa juu sana....
Walimu bana anaona raha kuwapa watoto mitihani kumbe na nyie mnaogopa mitihani.....kama mpo fit mnaogopa nini?au mnaendaga kukua huko vyuoni kwenu......fanyeni paper kama wahasibu na kada nyingine wanavyofanya.
Hii ndio siri iliyojificha kwa wapinga huu mkataba wa bandari....swala wala sio uzalendo hapa....suala kwann wamepewa Waarabu.....Ile kampuni yenu ya ubia ya Twiga mining ya ubia Iko wapi siku hizi....hamsemi hapo...
Bandari miaka nenda rudi ni upigaji tu tija ndogo sana leo anatafutwa mtu atusaidie kelele utafikiri wenyewe tulikuwa tunapatia.......na wengi oyaoya hawajui lolote masikini wanalishwa ujinga nao wamo kupinga wawekezaji....hapo waswahili walikuwa washaweka mizizi ya upigaji wanalalamika sababu...
Msukuma utamjua tu ....hakuna project mpya aliyoanzisha yeye amekuta mipango yote tayari....ametekeleza tu.....mpango mpya ni daraja la busisi tu...familia mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.