Naamini umetujibu kwa nia njema kabisa asante kwa ushauri wako. labda haukuona vema eneo ambalo hili tawi linafunguliwa si katika eneo la chuo kwani ni mjini kabisa. pia wanofungua ni wafanyakazi na wanafunzi hivyo usihofu wanafunzi hatapewa majukumu mazito yatakayo sababisha kushuka ufanisi...
Tusilumbane wapenda maendeleo wote kura kwa dr. Slaa. Hakikisha meseji za kumwaga kwenda kwa watu wote unaowafahamu, kumbuka wengi wanakuamini na kukuheshimu tumia nafasi hiyo kuendelea kuomba kura kwa ajili ya slaa
Ninampa pole marin kwa kilichompa. Ninampa ushauri wa bure kabisa aache kutafuta ukuu wa wilaya kwa mbinu chafu azingatie maadili la sivyo siku moja atang'oka meno kwa ushamba. Nguvu ya uma inatisha.
Ninampa pole marin kwa kilichompa. Ninampa ushauri wa bure kabisa aache kutafuta ukuu wa wilaya kwa mbinu chafu azingatie maadili la sivyo siku moja atang'oka meno kwa ushamba. Nguvu ya uma inatisha.
TBC SITAITAJA KWANI WAO NILIWATARAJIA. Magazeti ya R. Mengi yanachefua sana kwani wanashindwa kusimamia maadili ya uandishi wanajikomba sana hawa ndugu hivi hawafahamu kwamba uchaguzi unapita? Watanzania ninaomba tutambuo vyombo na waandishi wa ukweli na wa uongo. Sitamfasahau kibonde huyu ni...
Kiama cha Kikwete kimefika, Nani amesema Chadema hakitapata wabunge wengi? ni mwendawazimu tu ndiye anaweza kuamini hivyo. Kuna watu wengi wako na wengine walikuwa ccm si kwa sababu wanaamini kilichopo huko, bali ni kutokana na woga wa kufuatiliwa, sasa wamegundua Chadema kina nguvu kubwa na...
Hongera Mwakyembe ninatamani hata viongozi wangu wa Chadema wasiweke mgombea huko, ila ninaomba tu tuunge mkono kumng'oa JK kwa kura halali si unajua jamaa alikuwa amekuacha ushughulikiwe na mafisadi. Asanteni wanakyela chukueni zile rushwa za CCM ila kura zote tumpe Dr. Slaa ahsanteni.
Kwa kweli kelele za wana CCM kufisadiwa katika kura za maoni na wana CCM wenzao kuchukuliwe kwa tahadhari kwani wengi wanaolalamika wanajua chama kimezoea kufanya nini ili kupata unaoitwa "ushindi wa kishindo" wakitoka huko mbinu hizohizo zinaweza kutumika endapo zitaruhusiwa. Rai kambi ya...
Kwa kweli Dr. Slaa ni mtu makini na sio siri wasomi wenzagu wa chuo kikuu niliokutana nao wanaonyesha kumuunga mkono sana. Wapo na wengine wengi waliokuwa wamekata tamaa ya kupiga kura wamesema ari ya kura imerudi kwa kishindo na kura zote kwa Dr. Slaa. kwa kweli hao wapambe wa mafisadi matumbo...
Wewe ndugu usinilazimishe nikukabili wewe binafsi kwani ninawasiwasi na uwezo wako wa kueleza haya. Jifunze namna njema ya kutoa propaganda. Ninachokiona kwako unashindwa kueleza maeneo ambayo Bashe hakubaliki unajihalibia bure hatra hiyo kazi uliyo pewa itakushinda na watakuona haufa hiza pesa...
Mnyika ninakutakia mafanikio katika kuukwaa uwakilishi wa wananchi wqa ubungo. Ni imani yangu umejipanga vema na mkakatio wa serikali kukunyima kura za udsm na ndio maana wamelazimisha vyuo kuchelewa kufunguliwa. hofu ni wewe, si unajua ulivyobeba kura pale UDSM? wewe ni mshindi, tumia kila...
Ninazindua kampeni rasmi, Dr. Slaa, anaifaa nchi hii iliyofikishwa hapa ilipo, ninaomba aungwe mkono, kwani ninauhakika kabisa kwa kura atakazopata si haba . Viti maalumu vya ubunge pia vitaongezeka sana kupitia Dr. Slaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.