Kwanza kabisa, "habari zenu wana JF",
Kuna ishu inanitatiza sasa nashindwa kuelewa, kuna msichana fulani nasoma nae chuo hapa Dar kuna mambo flani nashindwa kuelewa tangu nianze kuona hisia za tofauti (kumpenda, kumuelewa) naanza kumkwepa I mean nashindwa hata kumface.
Kinachonishangaza zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.