Kama sio yeye mwenyewe kuachia ngazi haya yote yangetokea wapi? Sasa anaonekana jinsi alivyo mamluki,mawazo binafsi ili abakie na heshima yake kama Dr Slaa ni bora akae china nakujipanga upya maana wananchi wanamuona kibaraka wa CCM.
Kuwafukuza makada wa ccm wakati wanaimba wana imani na Lowasa sio kosa kwa sababu alikuwa ni mfuasi wa ccm sio chadema.kwahiyo kilichofanyika kwenye kikao cha ccm sio sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.