Mheshimiwa upotoshaji wako ni Kutoa sababu ya kufungiwa safari za usiku.
Nimesema sio Ujambazi ni Ajali.
hili lieleweke vizuri, sio nakataa safari za usik
Kiongozi usipotoshe Historia, mabasi yalipigwa marufuku kusafiri usiku kwa sababu ya ajali na sio ujambazi.
Mwaka 1992 ajali zilifululiza usiku na kulazimisha PM wa wakati huo Mzee John Malecela kuzuia safari za usiku baada ya Basi la Yarabi Salama kugonga lori lililosimama maeneo ya Ihumwa...
Kaka tuvute Subira, labda nyumbakubwa itatia neno ....
au kuchukua hatua kutunusuru na laana hii,
mbona mkataba wa ule mradi wa kitapapeli wa masuala ya wakimbizi (CRRF) ulioingiwa kijanja JPM aliutolea uvivu na kujitoa? Nilipenda sana ile.
Mi bado nasubiri ...
Ndugu zangu, miaka ya 80 picha za rangi mbona zilikuwepo? mi ninayo picha ya Dingi 1982 Xmass na ipo clear kabisa na ya rangi. Wakati huo BurhaniStudio ndio inafunguliwa pale Arusha, na akina PHOTO ME STUDIO zikivuma.
Back to the photo: naamini huyo mtoto ndiye Mwigulu. Lakini anachunga...
Vodacom inakera sana, tatizo langu ni pale unapoweka credit ili ujiunge na muda wa maongezi, lets say unajiunga kifurushi cha wiki cha 4000, hata ukiweka 42200m utaambiwa salio halitoshi kujiunga
Hivi mbona mitandao mingine hawana hizo? mbaya zaidi hata ukiweka 4500 ukajiunga, hizo 500...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.