Kwa nn cctv camera ziliondolewa siku kashambuliwa lissu ?
Kwa siku hiyo hakukuwa na police hata mmoja while siku zote huwa wanalinda hizo nyumba ?
Acha ushabiki kwenye sensitive issues
Idiot
HUKU NAKO NI #KUKENGEUKA; POKEENI #TOBA KUONDOA MKENGEUKO HUU
"Serikali yatishia kuzifuta Taasisi za Dini kwa kuongelea masuala ya siasa"
-----------------------------------
Rai yangu:
"Codepency leadership" itaifanya nchi hii kuwa ya Mazwazwa....hata neno siasa(Politics) asili yake ni Dini...
Road Licence ni Tshs 290,000/= wameondoa na kuweka Tshs 300 kila Ltr na sasa kwa Truck inayotumia Ltr 3000 kwa mwezi inakuwa Tshs 900,000 x miezi 12 = Tshs 10,800,000/= ni sawa na cost ya Road License imepanda x 38 na ikiwa Gari imetumia Ltr 1,500 tu kwa mwezi basi cost ya Road Licence imepanda...
Kaka shika jembe ukalime nimefanya more than 6 yrs bulynhulu nawajua vzr utaumiza kichwa chako majibu ya pm bungeni juzi tayari yametoa picha mwisho wa hill sakata makao makuu yako London accacia Canada ni sehemu ya barrick London so kufanya hyo press London wako sawa
Hasikuumize kichwa huyo le mutuz ni mpambe alafu ukiangalia na umri wake anatia aibu nilimsikiliza kwenye 40 ya mtoto wa pili wa diamond alichokuwa anaongoe nikajiuliza hivi kumbe wapambe bado wapo shame on him
Kama kweli wewe ni close friend mwambie akanushe na aweke vyeti mezani mbona wenzake wengi walituumiwa wakaonyesha vyeti anaogopa non sio kuja na mapicha mengi humu hayana faida yoyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.