Nyumba zinauzwa ni mpya, ndio ziko kwenye hatua ya mmwisho< ziko kunduchi skanska-salasa. bei zinatofautiana na ukubwa wa eneo, bei inaanzia 130ml to 180ml. karibuni 0782370200
Tunatengeneza Milango ya mbao na frem zake, makabati ya Jikoni,na bidhaa zinazotengenezwa kwa mbao, wasiliana nasi kwa namba hizi 0782370200n 0754255734
Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa dar es salaam?
mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie.
bless you
Habari zenu wana JF, samahani naombeni msaada ni wapi naweza pata gas ya BP kwa hapa Dar es salaam?
Mimi naishi tegeta, kwa anayejua tafadhali anisaidie.
Habari zenu wapendwa,
mimi ni mama wa mtoto mmoja na mume mmoja, natafuta sehemu ya kusupply lunch kwa Dar es salaam. yeyote atakayesikia au anayefahamu sehemu ambayo wanashida hiyo tafadhali wasiliana nami kwa no 0712 25 90 21 na 0754 255 734, chakula changu ni kizuri na hautajuta.
NB:
At...
Habari wadau,
naomba mnisaidie, natafuta sehemu ya ku supply lunch, yaani namaanisha niwe napika kwangu tehn napack kwa lunch box and then na supply. tafadhali ukisikia au kama unajua sehemu yeyote naomba nifahamishe kwa Mobile no 0754 255 734 au 0712 259 021.
Mungu awabariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.