Wapendwa ninahitaji laptop ya kununua.description iwe na ram ya 1gb -2gb na hard disc 100-200gb na processor wenye speed.screen size angalau iwe ya inchi 18 na bettery yake iwe wenye uwezo wa kukaa na charge (moto) angalau masaa mawili au matatu mwenye hivyo vyegezo anaweza kunitumia message...
Wanajamvi asubuhi hii nilipost advert hapa kwamba nina king'amuzi cha kuuza (azam tv) king'amuzi na dish yake. Wengi mnauliza bei nitakiuza shilling laki moja na elfu kumi tu ila bargaining ipo wadau.
Mi niko Mwanza. kama uko mikoani na una jamaa yako Mwanza unaweza ukamtuma aje...
Jamani wana jamvi nina kingamzi cha kuuza cha kampuni ya azamtv yeyote ambaye yuko willing kukinunua naomba tuwadiliane bei ni maelewano namba yangu ni 0755520228.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.