JENGA UCHUMI WAKO KUPITIA SIMU YAKO
Jiunge na RIFARO AFRICA (RI unitel)uwe na kipato endelevu ktk uchumi wako, huduma hii ni kwa wateja wa Tigo, voda, airtel na zantel bila kuathiri shughuli zako
UTAPATA FAIDA ZIFUATAZO
Code ya usajili,account yako ktk tovuti yetu,Muda wamaongezi, ATM card na...
JENGA UCHUMI WAKO KUPITIA SIMU YAKO
Jiunge na RIFARO AFRICA (RI-unitel) uwe na kipato endelevu ktk uchumi wako, huduma hii ni kwa watumiaji wa voda, tigo ,airtel na zantel.
UTAPATA FAIDA ZIFUATAZO
Code ya usajili,account yako yenye tovuti yetu,muda wa maongezi,ATM CARD na kitabu cha...
KWANN TUNAAMINI KATIKA UTAPELI ?
Kama wote tutaamin katika utapeli itakuwaje ktk fursa jenga imani na biashara yako
biashara hii co inafanyika barabarani inaofisi makao makuu ofisi zipo kila mkoa na inafanya kazi na makampuni ya simu pamoja na mabenki je utapeli upo wapi ?
karibu ofisin...
RIFARO AFRICA ni kampuni mama toka tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia KIPATO
Kampuni ilipata wazo toka 2011 ,lakin rasmi ilianza kuifanyia kazi 2012 mwezi 12 baada ya taasisi zote kupitia na kujiridhisha na...
nikikwambia bei hata elimu yakutosha hujapata ni bure jamsingi kapate elimu zaidi
utakuta bei yakujiungia na hata nikitaja bei sahiv bila kujua umuhimu wa kampuni kwako
pia kampuni inatoa nafasi kwa mteja kurudia nakujifunza semina kwa hiari yake mpka ajifunze ndio ajiunge
ungejaribu kupata elimu kuliko kuamini kuwa unatajirisha wengine
kiukweli ni katika fikra za kawaida kuamini unawatajirisha wengine
fursa ni njia pekee yakujitathimin katika maisha yako
co laxima utumie 20000 elfu
lakin nikuulize kwa mwezi huwezi tumia hiyo kiasi
je ulishawahi tasmini kiwango cha vocha unayotumia?
kuna watu wanatumia hadi 100000
je huoni ni nfasi ni fursa jaribu kufika ofisin
niambie upo wapi nikuelekeze ofisi
hiyo ni kampuni hakina kirefu RFA kwa wanaofupisha but JINA KAMILI RIFARO AFRIKA TEMBELEA OFISI ILI UPATE ELIMU ZAID NA JINSI INAVYOFANYA KAZI
tujenge mazoea kutafuta fursa
fursa ni hiyo kaka
inakuwa hivi ww unatafuta watu 10 then hao kumi kila mmoja akatafuta kumi then chen inaendelea hadi chain inakuwa kubwa co kazi tembelea ofisi utapewa elimu practicaly kazi ya kujenga team c ww tu
hiyo ni mfano huduma inalipa
hiv watu hao kumi kila mmoja akaleta kumi hujafikisha mia chain...
rifaro ni kampuni inayofanya airtime marketing
ni super dealer wa makampuni ya cmu za mkononi
ukinunua muda wa maongezi kupitia rifaro system unarudishiwa 0.5%ya faida wanazopata ×idad ya wanachama katika kizazi cha 1 hadi 5 na utalipwa 0.25%×idadi ya wanateam
mfano kuanzia kizazi cha...
Niwachache wenye kutafuta fursa, fursa yako mikononi mwako mtafutaji hachoki rifaro imekuwa karibu kukufikia ulipo kupitia simu yako jenga uchumi wako .
Rifaro inamjengea kila mtanzania bila kubagua kiwango cha elimu yake wahi ufaidi na fursa za rifaro katika kipato chako utashi wako ndio...
ni kweli inalipa na hakuna utapeli katika hili team yako najuhudi yako juu yakushsuri ndugu na jamaaa katika huduma hii ndio unajilipa
ukifanikiwa watu 6 umerudisha gharama ulizotia tena kwa week
mwenye uhitaji atafuta maisha co wote wenye uhitaji wa maendeleo wa uchumi ktk maisha yaoooo but kama unaamin huu ni utapeli haina haja mtoe tyu hii post
Lakin kumbuken mnaogooa kutapeliwa wakati kila kitu unaamin ktk maisha yako utatofautisha vip kat ya fursa na utapeli
kila mtu ana imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.