NIMESHAENDA KUWEKA MAFUTA KWENYE KITUO HUSIKA HAPO JUU ZAID YA MARA 2, MAJIRA YA ASUBUHI ILA CHA KUSHANGAZA WANASEMA TRA MACHINE YA RISITI IMEHARIBIKA. MASHINE INAWEZAJE KUHARIBIKA WIKI NZIMA, TRA OFFICE IPO PEMBENI YAO KABISA.
HICHO KITUO NI JIPU LENYE MDOMO KABISA.
BRIEF;
Four corners ni mtandao unauza vitabu vya financial success. ili waweze kuuza wanatumia system ya network marketing. ni kwamba wanashirikisha watu wengine katika kutafuta masoko. kwa wewe kujihusisha nao utalipwa na wao watapata faida. yani wewe kuwaletea wateja unalipwa. sasa ili mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.