duuuu ile ilikua funga kazi ingawa ni topic inayofahamika ila sema ni vigumu mtu kufikiria kama maswali yangekuja ya aina ile!!! pia utumishi hawatabiriki writen interview nyingine wanatoa swali moja tu,ukishindwa ndio umeshindwa na ukipata ndio umepata!!!!!
kufuata maelezo ya matangazo ya kazi ni muhimu,ukijaribu kuangalia matangazo ya kazi karibia yote wanahitaji cheti cha kompyuta,hivyo kama unacho uwe unaambatanisha kama huna tafuta maana computer training centre zipo kila kona siku hizi na kwa zile kazi wanazosema vyeti viwe certified hususan...
vijana wengi tunakua na mawazo ya kujiajri suala linakuja mitaji tutapata wapi? pia kuna baadhi ya NG'OS hapa nchini ambazo zinasema zipo kwa lengo la kusaidia vijana wajikwamue na umaskini na zinapata misaada kutoka mashirika ya nje lakini kinyume chake hiyo misaada haiwafikii walengwa,mfano...
asante kwa ujumbe mzuri mdau,na nikweli point ya mwisho watu wengi tunapenda kuitumia tukidhani itaturahisishia kupata kazi kumbe inaweza kua point of weakness au kuwa faida kwa waajiri au matapeli wasio na nia nzuri,mimi mwenyewe hapa bado ni muhanga wa ajira
tehetetehteh wahenga walisema kua uyaone,sio maghorofa eti!!!!!!!mi "nasema maliza chuo uje kitaa" kama huna wakusukuma kimemo chako ofisi fulani utakeshaaaaa maana muda mwingine hata kazi ya laki2 point somethng kuipata ni mpk uunganishiwe.LAKINI SI KUKATISHANA TAMAA BAHATI YA MTU PIA INAWEZEKANA
Jeshini wanaenda watu wa level zote za elimu,kwa upande wa kusoma ni kutokana na miaka hii kwani wasomi ni wengi hivyo form 4 kwa miaka hii ni kama darasa la saba,form 6 ni kama form 4,chuo(diploma & degree) ni kama form6,
Tuliotuma kwa email ya egotel tulirudishiwa majibu kuwa cv zimefika,wanazifanyia kazi kwa hiyo mtu unakua na uhakika kuwa cv yako imefika kwa wahusika,lakin email ya viettel mbona hakuna taarifa kama cv imefika ama laa,mi nmetuma lakini kimyaaaaa,bora mtupe hata matumaini kama zimefika
Mi nilituma maombi lakini naona kimya wakati mlisisitiza tuendelee kutuma na kuwajulisha wengine,swali langu ni kwamba mtaendelea kuita watu waje kwenye interview au ndio mshafunga zoezi?
kuhusu passmark yao ni 50 lakini muda mwingine wanaangalia na ufaulu wa watu,kama watu wengi wapo juu ya50 huchukua maksi zilizo juu zaidi kama 70 kupanda juu,kuhusu kubebana sina uhakika zaidi ila watu wengi husema hivyo.
jaman ni kweli matapeli wapo kwenye ishu za ajira,inabidi mtu kuwa makini mi mwenyewe nimekutana nao lakini niliwagundua mapema maana walisema nitume ela ili HR apitishe jina langu nikawaambia nikipokea mshahara wa kwanza ndio nitawapa hiyo ela,hahahah baada ya hapo hawakunitafuta tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.