Mkuu, nikimpata Kuchi ntamuweka hapa ! Wana midomo mifupi,shingo refu,miguu mirefu kwa ujumla ni warefu, kisha mostly wanamikia flat kama ya ndege na siyo ^ kama kuku wengi wa kienyeji ! Ni hayo baadhi !
Habari wadau !
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji, Natafuta kuchi wa mbegu kama ni Jogoo au Tetea ! Natanguliza shukraan wadau mwenye nae au mtonyo tuwasiliane kwa P.M. Ahsanteni sana
N.B: - Bei iwe reasonable sio za kusadikika.
- Nipo Dar
- Biashara iwe cash basis a.k.a Man to man.
Sungura wadogo hufa kwa sababu kuu zifuatazo :-
1. Usiwaweke sungura wadogo na sungura dume,,huwa kuna tabia ya sungura dume kuua watoto madume ili kuepuka vita vya kupigania majike wakikua.
2.Inawezekana sungura wako ume wa overpopulate meaning sehemu ndogo umeweka sungura wengi including...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.