Mtu yeyote anaye onekana ana penda sana kwenda Ikulu Na yuko radhi hata kuhonga ili aingie Ikulu, ni Wa Kuogopa kama UKOMA. Ame zipata wapi hizo fedha. WaTanzania Hawa masikini hawa. Ikulu ni mahala patakatifu. Aliye kuambia Ikulu kuna biashara kule NANI??? Mna hangaika mpaka kuhama vyama...
Amini nawaambieni enyi Waswahili wachache
mnaotawala; mnategemea kweli kuwa
mtawaongoza Watanzania kwa lazima wakati
wamepoteza matumaini, na mtegemee kuwa
watasalia wamekaa kimya kwa amani na
utulivu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.