Hakuna kitu kibaya kama uvivu wa kufikiri Na uvivu wa kufanya Kazi, we ukiambiwa utapata pesa burebure ndo una kimbilia kwa sababu ya uvivu wako, ukikosa unatoa povu mdomoni wewe kaa tu udhani pesa utaipata kwa rushwa ama wizi, utaishia majungu maana huijui hao Forever wanakuchangia sh ngapi...
Kama mtu umeshindwa kufanya network marketing kwa uvivu wako tulia wenzako wafanikiwe. Naungana Na mdau waafrika wengi mnapenda kufanikiwa bila jasho haiwezekani, Na safari hii Magufuli atabana mianya yoote mtajuta kumfahamu.
Kuna watu humu mnajifanya mna majibu ya kila kitu ukikaa kimya kama hujui pia ni uungwana, watu wauliza ili wajibiwe kwa mujibu wa sheria Na taratibu , baraza LA mawazili lilivunjwa au la?
Poke sana ndio maana nilikwambia mapema ulikosa mwongozo Na sasa tunapoongea Dawa ya meno ni 17,000 Na kwa kuwa tunauza ubora wa bidhaa baada ya kuwafahamisha watu madhara ya Fluoride wanatupigia simu wananunua tu juice sasa hivi ni elfu 55,000
Ndugu yangu kujenga kwa pesa hiyo utasubiri saana labda uwe mwizi. Nakushauri jifunze biashara ya mtandao au network marketing, mtaji ni mdogo lakini utafundishwa ukiwa serious baada ya miaka isiyozidi mitano utajenga nyumba yako.
Nicheki watsap 0767211457 nikupe Maelezo ya kina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.