Duniani kote hakunaga maskini wanaoteteana kwa sababu Sauti yao iko chini sana haipai kufika Juu
Hivyo ni mabilionea hawa hawa ambao wachache wao Mungu wa Mbinguni amewabarikia UTU ndio hujilipua na kuwatetea maskini na Wanyonge
Hima tumuunge mkono Komredi Makonda, tumuunge mkono Freeman Mbowe...
Mfumo wa vyama vingi umeongeza Demokrasia na kupunguza Uzalendo
Kwa mfano Leo Chadema badala ya kusherehekea Miaka 60 ya Muungano wao Wanaandamana mikoani kupinga Kikokotoo
Uzalendo unatoweka
Jumaa Mubarak ๐
Baada ya kuripoti kwa RPC Kinondoni watuhumiwa Boniface Jacob na G Malisa wamepelekwa kwa Kamanda wa Kanda maalum ya DSM afande Muliro kwa mahojiano
Source: Mwananchi
Serikali ya Tanzania imetoa Jumla ya shilling billion 66 Ili kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua
Fedha hizo zimegawanywa Kwenye mikoa Yote iliyoathirika
---
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya barabara...
Kauli ya Mbowe inanikumbusha Swali la Mungu wa Mbinguni na Majibu ya Adam pale Eden
Mungu: Adam kwanini umekula tunda nililokukataza usile
Adam: Ni huyu mwanamke uliyenipa ndio amenidanganya nikala
Kwahiyo mh Mbowe uelewe Dunia nzima imejaa Wanaume unaowasema
Mbarikiwe sana ๐ผ
DSM mvua kubwa sana inaonyesha Lakini madhara yanadhibitiwa na hakuna Vifo
Nairobi kwa Siku ya Jana tu Mafuriko yameuwa Watu 49 na makazi zaidi ya 10000 kuzolewa na Mafuriko
Hongera RC Chalamila kwa usimamizi Mzuri ๐
Mbunge wa Konde ( ACT Wazalendo) Mohamed Issa amelalamika bungeni Ajira za Wazanzibar kuchukuliwa na wageni
Mohamed Issa amesema ni uonevu mkubwa Wazanzibar kuporwa Ajira Zao.
Mlale Unono ๐๐
---
Kwa pale Zanzibar mimi naamini Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa ni mtu mwenye akili ya hali ya...
Kwanza niwapongeze Sugu na Mchungaji Msigwa kwa kukubali kukabiliana kimdahalo
Sisi wapenda Demokrasia ya kweli tunaomba Mdahalo huo uwe live Runingani kama Kenya
Mlale Unono ๐๐๐ฅ
Familia ya marehemu Robert Mushi imetoa Shukrani kwa Umma wa Watanzania kwa kupaza sauti Kwenye Mitandao ya Kijamii ina kufanikisha na kufanikiwa kuuona mwili wa ndugu yao aliyepotea ghafla
Source: Mwananchi
Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob...
Kuna mambo Mawili muhimu sana,
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa CHADEMA Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya Dar juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika kifo cha mtu aitwaye Mushi.
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi...
Kiongozi wa Chama Cha ACT wazalendo na Wajumbe wa kamati kuu wamefika wilayani Rufiji na kutoa misaada mbalimbali kwa Wahanga wa mafuriko
Mkuu wa Wilaya Meja Edward Gowelle amewashukuru sana na kuwaambia Wao ndio Chama halisi Cha siasa
Source: ITV Habari
Mlale Unono ๐๐
Leo Wabunge wa Zanzibar wamenifurahisha kwa namna wanavyoweza Kuwa Wamoja kwenye kutetea Maslahi ya Visiwa vyao
Wabunge hao wamemwambia Waziri Jaffo wanapitisha Bajeti yake lakini ahakikisha kero 22 za Muungano anazimaliza, Waziri amekubali
Source: ITV
Kiukweli Oysterbay itabaki Kuwa Oysterbay tu japo wengine wanadai Mbweni ndio mbadala wa Makazi ya Viongozi wa Serikali waliokuwa wanaishi huko
Barabara ni Lami tupu lakini Maji ya mvua yametapakaa hovyo tu, yaani Hata gemu ya Wananchi na Wajeda imeahirishwa Uwanja umejaa Maji
RC Chalamila Dar...
Ni Ushauri tu
Kwani Mbowe ni Mwamba kama wanavyomsifia huko Chadema?
Mbona hajawahi kukataa Hiyo Sifa ambayo ni Wazi wanampamba kwa kumzuga tu.
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
Sipingi Ushauri wa Freeman ila namshauri ajitafakari yeye kwanza...
Mlioko Mjini tujuzeni hali ya mvua huko niko Ubungo nakuja town
Ni hilo tu
Mbarikiwe!
======
TAARIFA KWA UMMA
YAH: Kufungwa kwa Njia.
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka-DART unawaarifu watumiaji wa mabasi ya Mfumo wa DART kuwa leo, Aprili 23, 2024, Barabara ya Jangwani imefungwa kutokana na...
Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema hadi sasa wapinzani Wanafanya kazi nzuri MNO na mkisema muwape kazi nyingine itawashinda hivyo CCM iachwe Iendelee Kuongoza taifa
Nchimbi amesema Mtu hufanya vizuri Kazi aliyoizoea mfano Chadema ni kama fundi Cherehani wa miaka zaidi ya 30 kwahiyo kushona...
Mchambuzi maarufu wa masuala ya Siasa nchini Gerald Hando amesema Paul Makonda akikutwa na hatia kwenye Kikao Cha Maadili CCM atafukuzwa Kazi ya Mkuu wa mkoa
Hii ni kwa mujibu wa Katiba, amesema
Source: WASAFI FM
Pia soma RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.