Search results

  1. U

    Hongera Dk. Mwakyembe kwa kubaini rushwa Mahakamani

    Jamani usiombe kufika mahakamani, sitosahau siku ambayo Hakimu namwambia ushahidi ninao.cha ajabu hakutaka kunisikiliza, mwisho wa siku mwizi ndio kapewa ushindi.jamani hali ni mbaya.
  2. U

    Fatma Karume: Maana ya Mapinduzi imepotea Zanzibar

    Mungu wangu,ili bango mbona nimeogopa jamani, Zanzibar ndio imekuwa hivi? Huu ubaguzi haukubaliki.
  3. U

    Kikwete amkemea DC Makonda

    Wanajamii wenzangu,mimi sikushangaa kumuona mh.rais anampa makavu makonda,kila siku tunasema viongozi wengi serikarini hawana ubunifu,hayo ndio matokeo yake.suala la kutafuta mashine ya kunyonya maji hadi aje raisi akwambie kweli????.wao wanachokijua kila siku ni mipango mikakati tuuuu,saa hizi...
  4. U

    Kama Rais Uhuru wa Kenya leo ameweza, kwetu Rais Kikwete tatizo nini?

    Leo hii raisi wa kenya amewasimamisha kazi wa kuu wa chombo kinacho simamia udhibiti wa ufisadi pale nchini kenya,yaani mwenyekiti na makamu wake.Sababu kuu ni moja tu,wameshindwa kuwajibika ipasavyo kupambana na ukosefu wa maadili na kukithiri kwa ufisadi kenya.swali? hapa tz tatizo lipo...
  5. U

    Kabinti kadogo, ujane mara ya tatu!!!

    mchaga wa machame.
  6. U

    Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

    Nasema hivi,iwe jua au mvua lowassa ndio rais mtarajiwa,mnamfahamu vizuri utendaji wake,hana mchezo wala undugu kwenye kazi,mnaanza mchecheto mapema hivi,kazi mnayo,jamani kama unajijua ni mvivu huko serikarini tafuta njia ya kuchomoka mapema.ccm oyeeeee!!
  7. U

    Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    mleta mada mungu atakulipa,umetoa msaada mkubwa sana kwa jamii yetu.jamani umakini ni muhimu sana barabarani.
  8. U

    Hatari ya ugonjwa wa Kipindupindu Mbagala Rangi Tatu

    Wanajamii wenzangu, Naomba kuchukua fursa hii kufikisha ujumbe kwa mkuu wa wilaya ya Temeke, mh. Sophia Mjema ajaribu kuwatolea ukali manispaa ya Temeke kusimamia usafi wa mitaro ya hapa Mbagala Rangi Tatu, kando ya barabara karibu na kituo cha daladala. Hali ni mbaya sana na harufu ndio balaa...
  9. U

    Acheni maisha ya sinema, foleni ya kuolewa ni ndefu sana

    Ha ha ha !,hiyo mijizi tu,miguno mingi mwishowe anakupiga mzinga wa kwenda kununua wigi.:A S 576:
  10. U

    Channel Ten ovyo sana

    mkuu upo sawa kabisa,channel ten ni hovyo kabisa,hasa hawa watangazaji wafuatao-musa kipanya,moses mutente,said kilumanga na ezekiel mwambopo wamedandia fani za watu,hawana sifa za kuwa watangazaji.
  11. U

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Ndugu zangu,tatizo la kukosekana ubunifu serikarini haya ndio madhara yake,tunalo shirika letu la TTCL.kama viongozi wangekuwa vizuri,leo hii tusingekuwa tunateseka na haya makampuni ya kitapeli.kila leo wanaweka gharama wanazotaka wao.please mh.january makamba fumua management ya TTCL.weka...
  12. U

    Zitto: Watu wa Dar nawavulia Kofia, Siku 8 bila maji na mpo kimya?

    Tatizo ni somo la uraia.Watu awajitambui.ukijumlisha na tatizo la uongozi kwenye mkoa huu,Nisheeedah!!
  13. U

    Zitto: Watu wa Dar nawavulia Kofia, Siku 8 bila maji na mpo kimya?

    Mkuu tatizo mkoa wa dar hauna uongozi,maji hamna,mkuu wa mkoa naye kimya,yaani yupoyupo tu.anasubiri rais atoke safari akampokee airport basi.:clap2:
  14. U

    Zitto Kabwe: Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA

    jamani mi nasema hivi,kwa Tanzania siasa ndio basi tena,na muunga mkono mzee kingunge alichosema jana.kwani kila mtu atakae ingia yeye ni dili tu.
  15. U

    Mnyika is the brightest MP in Tanzania

    Huko sasa umeenda kubaya,kifua unacho ???
Back
Top Bottom