Wananchi wa Tabora njiani wamezingira kituo cha kutangazia matokeo huku wakimtaka msimamizi kumtangaza haraka mshindi ambaye wanadai ni bwana Peter Mkufya kupitia CUF Kashinda July wakiogopa kuwa CCM wanataka kuhujumu matokeo baada ya mgombea wa CCM kudaiwa kugomea matokeo, ndipo jeshi la...
Chama cha CUF kimepita mtaani kikitangaza kuwa kutakuwa na mkutano wa UKAWW leo Jumapili saa 10.
Nimefika mapema nikakuta bendera za CUF na maneno haki yakitawala pale.
Naomba nisaidiwe kama ni sahihi kutumia UKAWA kuitisha mkutano.
Sina nia mbaya ila nataka kujua makumbaliano ya UKAWA...
Vijana 89 kutoka tawi la SAUT Tabora wamehama CHADEMA,mbele ya katibu mkuu wa CCM taifa KINANA,Vijana hao walirudisha kadi zao na kukabiziwa kadi za chama makini tawala CCM na katibu mkuu Kinana katika mkutano wa hadhara hapa Tabora Mjini Jumapili iliyopita.Hii ni ishara ya mwisho wa CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.