Mwigulu anajifanya ni genius sana,na anadharau sana.
Nakumbuka mwanzoni mwa mwaka huu,kulikuwa na mijadala kadha wa kadha kuhusu marekebisho ya Kodi,wafanyabiashara wakaitwa na kutoa maomi yao,mwigulu kayatupa jalalani.
Kulikuwa na haja gani ya kuitisha kikao Cha wafanya biashara huku mkinua...
Kwa mahitaji ya kifedha TALA iko poa,maana itakusaidia pale ulipo banwa.
Ila kimaswala ya faragha sahau,pindi tuu uombapo mkopo na ukatii masharti yao,basi jua kuwa huna faragha/siri tena.
Na pia endapo utafanya makosa ya kimitandao uko hatarini kunaswa kama kuku.
NI HATARI KUJIUNGA TALA,ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.