Wewe Kijana mbona una coment kitu ambacho hauna uhakika nacho,Ni kwamba subilieni majina yenu yatatoka baada ya kumaliza kuchagua watu wenye vigezo. Kazi hii sio nyepesi kama mnavyodhani , kwa sababu sifa za watu sinakaribiana sana. Tafadhari! Tunaomba msituchafulie heshima yetu. Tunafanya...
Mimi pia niliona kazi kupitia zoom na jamii forum, Nikafuatilia Source , Nikatuma. Baada ya hapo nikaitwa kwenye interview na Katika Interview kulikuwa na People kama 700 hivi, 90% kati yao Walifanya Application Kupitia Zoom Tanzania. Nakushauri usikate Tamaa, Rekebisha CV yako ili ikae ki...
kama umechaguliwa katika timu ya Advance bank Tanzania, Jiandae kwa training ya miezi mitatu, na utakuwa ukipewa posho ya shilling 50,000 kila week kwa muda wote wa training, baada ya kumaliza vizuri training, utapewa mkataba wa miezi sita under probation,Kwa kipindi cha probation utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.