samahani wakuu mwenye video au sauti ya sera za mgombea wetu wa igunga kupitia updp awakilishe tafadharini,nimependa zile sera za pawa tila,mpango kutoka yugoslavia na nyinginezo zisizotekelezeka alafu ijadiliwe kwa umakini
mkuu ikulu yetu na watendaji wake wengi hawako makini na kazi zao zilizowapeleka pale wanachofanya ni hicho tu(kamuhogo)lakini pia hakuna wa kuwasahisha make wengi wao ni haohao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.