Search results

  1. M

    Vijana wa kutembeza maandazi barabarani wanahitajika

    Achana na hao wenye mawazo finyu pambana kijana mungu yupo utatoka tu
  2. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    asantee mkuu
  3. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    umeona eeeee
  4. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    mbona wenzio waliuliza hapo juu we vepeee umevurugwa nn
  5. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    yani ndo natafuta zinakopatikana kwa wingi mkuu
  6. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    asante kunisaidia ! kuna watu wengine bana sijui vipi
  7. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    km ingekuwa mtu hana akili asingeuliza swali labda wewe ndo huna km mwalimu kafundisha hajaeleweka wanafunzi wanauliza swali na sio kusema ticha hana akili, jitambue
  8. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    kununua from mkoani na kuuza dar es salaam
  9. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    habari wakuu, jamani anaejua vizuri soko la nyanya humu na zinapatikana wapi kwa wingi plizz msaada tutani
  10. M

    Ni wapi nyanya zinapatikana kwa wingi?

    Habari wakuu jamani naomba msaada kwa anejua vizuri soko la nyanya zinapatikana wapi kwa wingi tafadhari msaada tutani
  11. M

    Natafuta tenda ya kusambaza nyama za ng'ombe

    ndo maana waafrika hawaendelei kazi ya mizaha tuu kila saa kalaga baho utaletewa kesho
  12. M

    Natafuta tenda ya kusambaza nyama za ng'ombe

    asante lkn natafuta tenders sio 1kg for family use
  13. M

    Natafuta tenda ya kusambaza nyama za ng'ombe

    Habari za humu ndani Jamani natafuta tenda za nyama ya ng'ombe mashuleni hotelini restaurant mama lishe na wenye uhutaji plizzz naomba msaada delivery free of charge mawasiliano 0716283599
  14. M

    Msaada: Nimeajiriwa Kama Assistant Accountant

    watu wanasaka kazi we tatizo huna amani mshukuru mungu kwa kazi hiyo muombe akupe amani
  15. M

    Tenda ya Kusambaza Nyama ya Ng'ombe

    Habari wanaJF Tafadhari mwenye kujua jinsi gani naweza kupata tenda za kusambaza nyama ya ng'ombe plizzz msaada
  16. M

    Soko la muhogo

    Jamani wana JF nani anafahamu vizuri soko la muhogo yani nauzia wapi nasikia kuna sehemu wanauza kwa wingi zaidi wa kusafilisha nje ya nchi msaada pliz
  17. M

    Wauzaji wa nyama ya ng'ombe

    ni nzuri sana
  18. M

    Wauzaji wa nyama ya ng'ombe

    ni nyama pureee kabisaaa ipo freshi no doubts
Back
Top Bottom