km ingekuwa mtu hana akili asingeuliza swali labda wewe ndo huna km mwalimu kafundisha hajaeleweka wanafunzi wanauliza swali na sio kusema ticha hana akili, jitambue
Habari za humu ndani Jamani natafuta tenda za nyama ya ng'ombe mashuleni hotelini restaurant mama lishe na wenye uhutaji plizzz naomba msaada delivery free of charge mawasiliano 0716283599
Jamani wana JF nani anafahamu vizuri soko la muhogo yani nauzia wapi nasikia kuna sehemu wanauza kwa wingi zaidi wa kusafilisha nje ya nchi
msaada pliz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.