Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilo 6500 TSHS mkuuBei kwa kg 1?
kama ni basi moja no delivery cost kama basi mbili nitakuuzia kwa 7000 TSHS kiloPoa poa delivery cost ?
Mie najileta mwenyewe Ila nitahitaji poshoTunauza nyama ya Ng'ombe tunatafuta tender za kusapply nyamba bei poa kuanzia 5kg tunakuletea hadi ulipo wasiliana nasi kwa simu namba 0716283599
Hata ukileta mteja utapata posho Tupo sinza madukani UPENDO BUTCHER
karibu mkuuMie najileta mwenyewe Ila nitahitaji posho
ni nyama pureee kabisaaa ipo freshi no doubtsmbona nyama imeshuka sana bei 6500 hiyo vipi
ni nzuri sanaSafi sana ,nyama Nzuri au ndio zile ambazo ngumu kinoma