Kuna wachezaji ukijaribu kuwakubali unakumbuka drama zao moyo unarudi nyuma.
Jorginho.
First leg against Spurs.
Sasa hivi city hashindi kwaajili ya points 3 anashinda kwaajili ya points na GD. Blueprint ya kumstopisha site ni same na ya kumstopisha Arsenal.
For ages liva akabebwa na late...
Zamani ilikua unasikia "De Zerbi kocha hatari" waandishi wanamhoji juu ya formation wakatengeneza na quotes.
Kisha wakamfananisha na Arteta.
Alivyoanza kunyooshwa siku hizi humsikii tena
Na nikawambia ni rahisi kushindana na liva kuliko city.
Tumtoe kafara flano ili city asikae juu.
Mkagoma.
Matokeo yake city akawa juu, flano yupo hai anatupigia kelele
Mpira bwana
Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.
Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya counter na transition kwenye low block haruki.
Hata wiki haijaisha proof hii hapa.
Mateta hua namuona miyeyusho eti leo ndiye kawanyima...
Eti
"Tukaikamata Arsenal kwa dakika 15"
🤣🤣🤣 Timu ilikua haipigi pasi 3 bila mpira kupokonywa hizo dakika 15 zote zingefikaje? Anahisi anaangalia mpira peke yake nini
Sa mbona huyo jamaa ni shabiki wa United?
Tatizo ni kwamba majukwaa yenu hayakaliki so hata wapuuzi wanakuja humu pia.
Trace week mbili nyuma alikua anapenda kusema Arsenal tuscreenshot msimamo wa ligi kabisa kwakua Liva au city anatutoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.