The Boss, Sijui kwa utaratibu wa wengine lakini mbona huyo jamaa ni mtu mzima na ana uhuru wake wakuchukua anaemtaka,kwani mkewe jamaa alimuona huyu kaka hawezi kua Mzinzi? au mpaka akose raha au awe mnyoge kwani
mkewe ni dada yake au just a friend? anajitia BP isiyokua yalazima kwa mambo...
Mahari ni zawadi kutoka kwa mume anampa mkewe,sasa mkianza kuulizana unataka ngapi au unategemea ngapi hapo panakua na mzozo baadae,chamsingi kama ningekua wewe na nampenda huyo bwana awe mume wangu na baba wa watoto wangu ningemwambia wala mahari yasikutie BP uwezo wako mpenzi wangu muhimu ni...
Mimi sioni kama kuna tatizo lakini mumewangu HAKUBALI KULALA KWETU tena hata Dad amwambie lala nyumbani kwanini mfikie hotel halali, lakini tukienda kwa Bibi analala sasa sijui kwanini nikimuliza anasema kule kwa wakwe..
Aweje namanisha awena tabia zaiana gani au kitu muhimu kwako wewe kama binadamu kupi mpenzi wako akiwanacho
unapendelea zaidi au unafurahi zaidi,mfano mimi napenda mume mrefu asiwe mnene,anaenidekeza,ambao hajaoa wala hana mtoto wa nje,mwenye kuniheshimu mcheshi...
Imenibidi nicheke kwanza, ndio mana kwanza kabla hujafanya maamuzi yakuwacha mwanamke hakikisha kua umeshamalizana nae kuanzia moyoni umalizie na machoni, huyo mdada kwa sasa yuko na mpenzi ulie mfumania nae
na still anakwambia anakupenda na weye unampenzi wako mwengine na nimzuri kuliko yeye na...
Nawewe unahakika kwa dozi unayompa kwa kiwango chake na tundu wako unamfikisha? mwanamke ni kiumbe mwenye aibu sio kama mwanamme anaweza kusema anataka bao kwa mkewe,lakini mwanamke utaona ishara tuu,sasa usinune wala usikereke nafsi yako ukirejea nyumbani muongeze dozi na jitahidi sana kumpa...
Mke huyo wa dini gani au yoyote tuu as long as ni mke? ebu basi jitambulishe zaidi unafanya kazi au umejiajiri yani mambo kidogo yakumtia mtu nguvu ajue uko serious.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.