NYUMBA INAUZWA , IPO DAR ES SALAAM, MAENEO YA SINZA , BARABARA YA SHEKILANGO, BLOCK B MITA SITINI TU KUTOKA BARABARANI, IPO KATIKA ENEO NZURI SANA LA BIASHARA NA INA UKUBWA WA SQUARE MITA 300 BEI NI MILIONI 400 TU PESA YA KITANZANIA. (maelewano yapo)
Piga simu hii kwa mazungumzo ya...
Unajua wewe unapima kwa macho tu. Hiyo nyumba ina vyumba tisa kwa nyuma. Yaan hapo unapoona ni upande wa mbele tu, nyuma kuna mabanda tena mengine. Cha msingi ni kwamba kwa kuwa kipo sehemu nzuri ya biashara panafaa kwa kujenga ghorofa, hapo ndo utapafaidi. Bei isikuumize sana , maelewano yapo !
Yaaan hiyo nyumba imepimwa na ina hati zote. Inatambulika mpaka Wizara ya Ardhi , Nyumba na Makazi.Ukubwa wake ni square mita mia tatu. Hapo kitu utakachofaidi sio hiyo nyumba, bali hicho kiwanja kipo eneo zuri sana la biashara. Ni vizuri ukinunua ujenge ghorofa kama wenzako hapo. Kwa maana ndo...
Ni hiyo nyumba yenye fremu (maduka). Ya kwamba unaposikia nyumba inauzwa sio kwamba bei iwe sawa na nyumba yenyewe. Bali hicho kiwanja kipo eneo la biashara ???? Mahala kiwanja kilipo ndo bei yake. Hata ukitumia macho yako tu utaona nyumba imezungukwa na maghorofa tupu,utasema hilo eneo halina...
Ya kwamba unaposikia nyumba inauzwa sio wamba bei iwe sawa na nyumba yenyewe. Bali hicho kiwanja kipo eneo la biashara ???? Mahala kiwanja kilipo ndo bei yake. Hata ukitumia macho yako tu utaona nyumba imezungukwa na maghorofa tupu,utasema hilo eneo halina biashara ????? Jamani hapo unauziwa...
Wewe mwenyewe si unaona mijengo iliyoizunguka hiyo nyumba. Yaaan panafaaa kwa biashara yoyote. Hiyo bei niliyokutajia si kwa ajili ya hiyo nyumba , la hasha hiyo bei ni kwa ajili ya hicho kiwanja !!! Maelewano yapo lakini hiyo ni bei ya kuanzia tu
Yaaan hapo mkuu nakuungu mkono 100% . Ya kwamba unaposikia nyumba inauzwa sio wamba bei iwe sawa na nyumba yenyewe. Bali hicho kiwanja kipo eneo la biashara ???? Mahala kiwanja kilipo ndo bei yake. Hata ukitumia macho yako tu utaona nyumba imezungukwa na maghorofa tupu,utasema hilo eneo halina...
Yaaan hiyo nyumba imepimwa na ina hati zote. Inatambulika mpaka Wizara ya Ardhi , Nyumba na Makazi.Ukubwa wake ni square mita mia tatu. Hapo kitu utakachofaidi sio hiyo nyumba, bali hicho kiwanja kipo eneo zuri sana la biashara. Ni vizuri ukinunua ujenge ghorofa kama wenzako hapo. Kwa maana ndo...
yaan hiyo bei ulotajiwa si kwa ajili ya hiyo nyumba, la hasha. Hiyo ni bei ya uwanja . Yaaaan ipo kwenye sehemu nzuri ya biashara. Unaweza kufanya biashara yoyote na ikalipa. Hata kama unataka kujenga ghorofa kama ya wenzio hapo inalipa. Hiyo bei ulotajiwa ni kwa ajili ya uwanja upo sehemu nzuri...
Wewe mwenyewe si unaona mijengo iliyoizunguka hiyo nyumba. Yaaan panafaaa kwa biashara yoyote. Hiyo bei niliyokutajia si kwa ajili ya hiyo nyumba , la hasha hiyo bei ni kwa ajili ya hicho kiwacha kipo sehemu nzuri ya biashara. Karibu sana !!!
NYUMBA INAUZWA , IPO DAR ES SALAAAM, MAENEO YA SINZA , BARABARA YA SHEKILANGO, BLOCK B MITA SITINI KUTOKA BARABARANI, BADO IPO KATIKA HALI NZURI NA KUNA FREM TATU ZA MADUKA BEI NI MILIONI 400 TU PESA YA KITANZANIA.
Piga simu hii kwa mazungumzo ya kununua: 0715528283
Nyumba inauzwa, Ipo Dar es salaam, maeneo ya Sinza, Barabara ya Shekilango, Block "B" mita sitini kutoka barabarani. Bado ipo katika hali nzuri na kuna fremu tatu za maduka, bei ni milioni 400 tu pesa ya Kitanzania.
Piga simu kwa mazungumzo ya kununua 0715528283..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.