Wahenga walisema " Kauli huakisi dhamira ya mtu na pia hutoa taswira ya uwezo wa mtu". Nimejaribu kufuatilia mienendo na kauli za viongozi wetu kwa muda mrefu sasa.
Ukimtoa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Edward Moringe sokoine. Kiongozi pekee katika Tanzania ya sasa...
Je hatua ya CCM kufanya mapendekezo ya spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha Jinsia kimekanya katiba sehemu ya 9 kifungu kidogo cha (g)? wadau naomba masaada hapo.
9. Lengo la Katiba hii ni kuwezesha ujenzi wa Jamhuri ya
Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...
Helo Members wa JF. na watanzania kwa ujumla.
Tunajiandaa na uchaguzi hapo oktoba 31/10/2010. kila nikijaribu kuangalia na kutafakari kwa makini na nikijumlisha matamsha ya wanasiasa mbalimbali inaonyesha kuwa kuna matokea yasiyotarajiwa kama ilivyozoeleka kwenye uchaguzi mkuu ujao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.