Wananchi wa jimbo la kalenga tunawatakia lalasalama katika uchuaguzi mnaotarajia kufanya mwishioni mwa wiki hii.
Lakini maombi yetu kwenu ni kuchagua mbunge bora na si mbunge mzigo kwa manufaa ya maendeleo ya watu wa kalenga na tanzania kwa ujumla.
Makamanda mlioko huko dodoma tafadhali tujuzeni mambo yanavyo endelea hapo mjengoni.
Waheshimiwa gani walochukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa kudum wa bunge maalum la katiba?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.