Hao asilimia 10 ndio hao wezi na mafisadi. Nchi zote zilizoendelea, zilifanya hivyo kwa kuwatumia wasomi wake wachache kufanya mambo ya maana kwa faida ya nchi.
Sisi wasomi wetu si ndio hao akina Zitto hata bila aibu anatangazia umma anaenda Germany kufanya check-up? Ingekuwa nchi nyingine kwa...
Mzee Mwanakijiji,
Umaskini ndio unawafanya watu wawe omba omba.
Ni sawa na wewe wakati ule unawabembeleza wale Wamisionari wakusaidie kukupeleka USA. Au ndio sasa umesahau?
Ukishiba ni rahisi sana kuwakashifu wenye njaa.
Ndugu yangu kachukue vyandarua hivyo kwa niaba ya familia yako. Acha kuweka siasa kila mahali. Huo mpango wa vyandarua upo kwa muda sasa na ni matokeo ya zile ziara za Bush.
Pia lazima ujue huyo mwenyekiti wa mtaa mmemchagua wenyewe. Kama hawafai au anahonga vyandarua basi uamuzi uko kwenu...
Wananchi wa Bumbuli wana akili za kujua nani anatakiwa kuwa mbunge wao.
Haya ya kukimbilia na tuhuma kibao hapa JF ni ya watu ambao wameshindwa kwenye siasa za hoja na sasa wanakimbilia kwenye siasa za kuchafuana.
Ubunge agombe January, nyie mnatumie muda wote kumuongelea babake, why...
Bado hawajapata usajili wa kudumu.
Hii CCJ na CHADEMA watagawana kura na kuiacha CCM inapeta kilaini sana. Labda wakubali kuachiana majimbo hapo kutakuwa na la maana.
Kasyabone,
Vipi mbona mmeanza kupiga wafuasi wenu tena?
Baada ya kuona huyo Mwenyekiti wa Ipinda, bwana Mensa kaamua kwenda kwa Mwanjala, mnamtumia vijana ili wakampige?
Hizo sio siasa tena, acheni kutumia vitisho kunyanyasa wananchi wasiwakimbie.
Mlianza kueneza eti Mwakalinga kajitoa...
Hawa CHADEMA wamekata tamaa ya kuunda serikali hata kabla ya mpambano wenyewe? Afadhali chama wangemwachia Zitto kumbe.
Chadema yapania kunyakua majimbo 80
Daniel Mjema, Moshi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejiwekea mkakati wa kunyakua majimbo 80 katika uchaguzi mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.